Leo nusura mambo yaharibike mshukuruni Refa hakuonaPole sana huwa inaudhi sana hali hiyo ya kujua ushindi na 3 points kapuni halafu kibao kinageuka.
Hamna kuchukiwa Hilo ndo soka bana kutambishiana kukejeliana alimradi siku inaenda soka linanoga ,kuna timu ina haters wengi kama Man U ?.......nyie shida yenu tu mmekuwa kivutio kwenye dunia miaka mingi bila kumbe la EPL wala UEFA mkizingatia mnafanya vizuri sana..... ila naamini ipo siku yenu tu nanyi mtabarikiwa......keeping on trying one day Yes !!!!
Hahaha nafichwa, yaani kama Wewe ulivyofichwa msimu uliopita nilikumiss mbayaNdiyo sababu unapokesekana kwenye majukwaa haya huwa kunapwaya, ujitahidi kupita huku kuja kuongeza uhai kwenye majukwaa husika.
Najitolea kumsaka Wacha1 kwa kweli amekosekana sana hapa.
Halafu ntawapa mrejesho.
😉
Chief kama utahitaji msaada kwenye zoezi lako nipo hapa kusaidia na kuongeza nguvu,ndugu yetu kapotea mwishoni mwa msimu uliopita kama utani vile.
eddy acha kutukana angalia clip ya goal la arsenal na hawajang'oa vitiAcha kupotosha watu matako ww
amefungaje???Acha kupotosha watu matako ww
HajapotoshaAcha kupotosha watu matako ww
I have been hearing this since 2004! You wanna bet bruh?Kuna dalili za Arsenal kwenda mbali zaidi msimu huu.
I have been hearing this since 2004! You wanna bet bruh?
huna tvAcha kupotosha watu matako ww
HaterzzzzzzI have been hearing this since 2004! You wanna bet bruh?