Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Lakini viungo wenu wanafunga magoli mengi.
Na hiyo ni London derby kumbuka, lakini sio wazuri sana away. After all Chelsea watakuwa mabingwa tayari...lol
lol huwezi kujua labda tutakuwa tumesha vishwa cheni zetu loool.
NICKLAS BENDTNER'S late, late winner kept Arsenal's championship challenge alive after a bruising encounter at the KC Stadium.
The Danish striker's 93rd minute strike broke 10-man Hull's hearts to keep the Gunners' hot on the heels of Premier League leaders Chelsea. Arsene Wenger's side had taken an early lead through Andrey Arshavin, the Russian magician outfoxing two Tigers defenders to drill a low shot past Boaz Myhill to notch his side's 100th goal of the season.
hizo ndio mechi rahisi kwetu...lolItategemea na matokeo ya mechi zenu na Aston Villa,Tottenham,Man Utd na Liverpool...Kila la heri though
hizo ndio mechi rahisi kwetu...lol
sisi tunapenda mechi hizo kubwakubwa, nafikiri wazee wa Emirates wanajua.Haya...tusubiri na tuone......(narudia tena) kila la heri
sisi tunapenda mechi hizo kubwakubwa, nafikiri wazee wa Emirates wanajua.
Man City sio mechi kubwa kwetu, labda kwenu Arsenal.Ni kweli twalijua hilo...hata Man City (Tevez na Bellamy)nao wanalijua hilo😀😀😀
Mimi sio ManU mr, hauwezi hata kuona avatar yangu?! Kesho ninawashabikia jirani zangu Fulham.
Man City sio mechi kubwa kwetu, labda kwenu Arsenal.
Man City sio mechi kubwa kwetu, labda kwenu Arsenal.
Ahsante kwa kunishtua unajua hizi Avatar mimi huwa sizichunguzi sana LOL!...kumbe na wewe ni wa darajani eh! Hongera sana kwa ushindi mnono lakini ujue bado tunawakoromea kooni mkiteleza tu tutawawashia indicator.
4-2=2 au umesahau hisabati, Man Citeh wametufunga 2 bila, ...lolHahaaaaaaa,haya bana....Mwenzio Masanilo alipotea kabisa jukwaa la Darajani baada ya mechi yenu na Man City(huju ni kwa nini)???...Halafu unajua kwa The Big four ninyi peke yenu so far ndo mmechapwa bao 4 kwenye mechi moja(wengine Arsenal,Liver na Man Utd twachapwa 3 tu mwisho) hahahaaaaaaa(utani tu huu jirani)
4-1=3 au umesahau hisabati...lol
hahahahaHahaaaaaaaa...Sema Score board ndo yaharibu...Inasomeka 4-1 na sio 3-0