UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Ramsey hapana aendelee kuumia till the end, sasa hivi mzee amefanikiwa kwa kumuanzisha sanchez pale lakini najua kabisa kwamba sio namba ya kudumu kwake amekua kama geresha tu pale ndio maana kuna wakati utaona anatokea pembeni while iwobi anajisogeza kati kati yani sio jambo ambalo unaweza count kama alexis ni permanent striker.. sanchez ni mchezaji anaependa sana kukimbia na mpila na mtafutaji mzuri sana,kumeweka kama striker ni swala la muda tuLabda lkn alimjaribu theo akashindwa
Nadhan ni muda wa sanchez sasa...
Binafs ningependa acheze mshambuliaj wa kati.....pemben wabaki Iwobi, chamberlain,walcoth na ramsey
Kama mzee atatulia kama vile man u wajipange nimeona kua man u wanafungika vizuri tuuKwa timu kubwa mi ninayoihofia Kwa sasa na man utd...mourinho huwa anatukamiaga sana na vikosi vyake
Tusubiri tuone nachofurahishwa na sanchez anajua kufungaNi kweli ila kwasasa tuna winga nyingi , fikiria akipona ramsey ...i abid tuwe na option 3 za washambuliaji wa kati ...kuliko kuwategemea perez na giroud
Wenga alishafanya hivo kwa Thiery henry ....
Alikuwa winga mzuri lkn alipozoeshwa namba 9 alitisha sana
The same robin van persie
Alikuwa winger mzuri hata timu ya taifa
Nimependa combination ya st cazo na qoculienKwa timu kubwa mi ninayoihofia Kwa sasa na man utd...mourinho huwa anatukamiaga sana na vikosi vyake
someone with arsenal blood....kuna makocha kibao wamepita arsenal na wanaweza kuja kukamata timuTuweke unazi pembeni unafikiri nani atakuja pale akiondoka!?
Mmoja kwa mfanosomeone with arsenal blood....kuna makocha kibao wamepita arsenal na wanaweza kuja kukamata timu
Nikitu ambayo washabiki wengi wa arsenal hawaoni iloTutapitia wakat mgumu akiondoka wenga
Tutamkumbuka kama J.KIKWETE leo kwa wtz
Mashabiki wa arsenal hawajielewi.Hahahahahaha hadi raha tulipopigwa na liver maneno haya hayakuwepoo
but the time is now, enough with AW; it's time for the old man to rest....Tutapitia wakat mgumu akiondoka wenga
Tutamkumbuka kama J.KIKWETE leo kwa wtz
Wawaulize Man utd baada ya fergieNikitu ambayo washabiki wengi wa arsenal hawaoni ilo
shida mnashindwa kuelewa kuwa sio kila mabadiliko huwa yanaambatana na negative impact....Nikitu ambayo washabiki wengi wa arsenal hawaoni ilo
Arsene mzee wetu naju rubaman anataman mzee aondoke leoNdio maana nawapenda wale mashabiki wanaomsapot wenger ktk shida na raha
IN ARSENE WE TRUST
Aje nan ?labda Pep angekuwa availableArsene mzee wetu naju rubaman anataman mzee aondoke leo