|Forest vs Arsenal....
Talking points...
1.Jana ktk mechi ya kombe la EFL,Arsenal aliipiga Forest goli 4-0,magoli yaliyofungwa na Xhaka,Lucas Perez na the The Ox.
2.Xhaka kwa mara ya pili mfululizo anafunga goli la shuti la mbali ,almost zaidi ya mita 20....for once,timu sasa ina long distance shooter.
3.Lucas Perez,katupia 2, na katoa assist moja...what a contribution...magoli haya yatampa sana confidence..
4.Arsenal sasa inaingia katika hatua ya last 16 kwenye mashindano haya....ninachokipenda kwenye mashindano haya,wachezaji wetu wengi watapata game time...(mind you,tuna kikosi kikubwa sana sasa hivi)
Lets wait n see...tunacheza na nani raundi inayokuja...
~COYG