Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbona ManU akishinda kwenye dakika hizo mara nyingi mnatoa vilio?!
jamaa ulitizama mpira? dakika 6 nyongeza nyingi kati ya hizo zimetokana na mpira ulipo simama wakati mchezaji wa hull pale alipokuwa anatibiwa au hukuona?
 
yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!

Halafu si busara hata kidogo kuywapotosha watu ambao hawajawza kuangalia game hii live bana,mpira umechezwa mpaka dakika ya 96(zimeongezwa dakika 6) goli limefungwa dakika ya 93...Sasa iweje useme limefungwa dakika ya 98????....Acha kupotosha bana
 
fabregas na song rudini pamoja gallas tumalize kazi huku.ikiwezekana van persie na wewe rudi pia.
 
Wazee wa kulialia, mpira haujauona lakini umeshalia kwamba refa kawaonea!! Damn! This is too much now! Refa anatuonea, my foot!
 
At least mmeanza kukubali kwamba hakuna mechi rahisi. Ni ninyi Arsenal ndio mlikuwa mnapuliza tarumbeta la "tumebakiwa na match rahisi zote, ubingwa ni wetu mwaka huu" The bubble nearly went bust today!

Kwani uongo???,tuliyokuwa tukisema ni ya ukweli kabisa,kwamba tumebakiwa na mechi ambazo nyingi ni rahisi,ndo maana unaona tangu tumalizane na Man Utd na Chelsea tumekuwa tukitoa kichapo tu...Liver tumemchapa 1-0,Sunderland 2-0,Stoke City 3-1,Burnley 3-1 na leo Hull City 2-1...Huoni kuna ukweli kwamba mechi zilizobaki ni rahisi???😀😀😀
 
Haya mkuu ngoja nipite nyumbani kwao nikawape pongezi akina Invisible, Masanilo & Company. Ahsante sana kwa pongezi zako. Kesho naona mna karamu ya kapu la magoli na Fulham.
Mimi sio ManU mr, hauwezi hata kuona avatar yangu?! Kesho ninawashabikia jirani zangu Fulham.
 
Hahahaha, ok chief! Who's next?
 
Jirani ebu niambie, eti leo mmeonewa sana na refa? Ninong'oneze wasisikie wenzio.
 
Ushindi huo hauniumi maana bado naongoza ligi with game in hand! Kazi iko kwenu ninyi mnaofukuza.

Na tunawafukuza hasa...Inabidi mgangamale hasa,muwe na speed kama ya Usain Bolt...Mkiteleza tuu sie hao...Hata game mlizobaki nazo mhhhhh...Blackburn Rovers,Aston Villa,Tottenham Hotspurs,Man Utd,Liverpool...heheeeeeeeee...bila kuwasahau ving'ang'anizi Bolton na Wigan....Mnalo...
 
Wacha hajatokea bado?

Mkuu leo nilikuwa na majukumu kwa hiyo mechi niliitazama lakini sikuweza kuingia JF si unajua tena ukiwa kwenye vikao vya ulevi na kunywa tindikali.

1-1 Penati imetucost hapa!!

Kibengera alikuwa amelipwa fweza na majamgili wa Mafioso hakuna cha yellow card wala penalty.

naona penati ya kizushi imewatoa jamaa,powaa tu mda hupo tutarudi.

Chelsick na Manure wako behind hiyo kitu.

Hii ni penati ya kizushi kweli bana

Tule kibendera ni rafiki yake taliban supporter.

sasa arshavin kweli nafasi kama hile ukipoteza tutakuwa mabingwa kweli?

Mkuu arshavin hawezi ku-volley mwangalie mechi zote hafungi mipira ya hivyo.

Mkuu MF, bado nina matumaini dakika 7 ni nyingi sana, lakini jamaa wote wa Hull wamerudi golini kwao kudefend na dakika ndiyo zinazidi kuyoyoma.

Mkuu katika Premier league timu inayoongoza kwa kufunga magoli katika last 19 minutes ni Arsenal kwa hiyo statistics hazidanganyi ingawa wapinzani wetu hawatakubali.

yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!


Khe khe kheeee hukuona majeruhi walipotolewa na mpira kusimama kwa muda mrefu. Au ulikuwa unasikiliza kwenye redio? BTW hivi hii ni kawaida kwa Chelsick na Manure tu kuongezewa dakika tano hata kama hakuna majeruhi?

Mpira umekwishaaaaaaaaaaa!! Point 3 kibindoni, bado tumo kwenye race!!

Mkuu Chelsick na Manure hivi sasa hawana hanu maana wanafahamu nini kinakuja.

Hahahahahahaha ushindi ni ushindi bwana kama Refa kaona kuna dkk 6 zilizopotea ni lazima aziongeze. Hebu kuwa mwanamichezo utoe pongezi hata siku moja....badala ya kusagia tu. Kumbuka asiyekubali kushindwa si mshindani.


Walie tu sisi hivi sasa mwendo ni mdundo tu next West Hama ambao waliwapendelea Cjelsick leo kwa kuweka timu mbofu mbofu.

Mbona wewe hujatoa pongezi kwa Chelsea? Au pongezi wanapewa Arsenal tu! OK, hongera zenu wakuu..lol...hahahaha

usikubali Pongezi kutoka kwa Mafioso.

Ushindi huo hauniumi maana bado naongoza ligi with game in hand! Kazi iko kwenu ninyi mnaofukuza.

Khe khe kheeeeee Petr Check and Hilarious wako nje Je, J4 watamweza special One?

Haya mkuu ngoja nipite nyumbani kwao nikawape pongezi akina Invisible, Masanilo & Company. Ahsante sana kwa pongezi zako. Kesho naona mna karamu ya kapu la magoli na Fulham.

Usitoe Pongezi kwa Mafioso. Kule weka nyundo tu mpaka liamba Lyamfipa.
 
Jirani ebu niambie, eti leo mmeonewa sana na refa? Ninong'oneze wasisikie wenzio.

Kwangu mimi naona refa kachezesha fair tu...Ile penati ya Hull ni ajali tu kazini...Hatujaonewa wala nini
 
Hii ndio tets muhimu ya mwanaume, maana ukishinda hapo unakuwa umechukua ubingwa kwa kufunga timu za maana, I can't wait for the games!
 
Na ..Hata game mlizobaki nazo mhhhhh...Blackburn Rovers,Aston Villa,Tottenham Hotspurs,Man Utd,Liverpool...heheeeeeeeee...bila kuwasahau ving'ang'anizi Bolton na Wigan....Mnalo...
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh hizi ndio game walizobaki nazo? comon arsenal we can do it.
 

Three minutes into injury-time, Nicklas Bendtner snatches a late winner for the visitors. Denilson's shot is parried straight into the path of the Dane who beat Myhill from close range


Wasiotaka hili ndio goli rasmi la kuonyesha Nia na Sababu
ya ubingwa wa EPL wajinyonge.
 
Hahahaha, ok chief! Who's next?

Hahaaaaa...West Ham United(Home),kisha wanafuata Birmingham(Away),Wolverhampton(Home),Tottenham Hotspur(Away),Wigan Athletic(Away),Manchester City(Home),Blackburn Rovers(Away) na tunamaliza ligi na Fulham nyumbani Imarati...Patamu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…