Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
Inabidi kucheza Kuna blog ya mashabiki wa arsenal UK inasema jinsi usajiri inayoendelea mashabiki wa arsenal inabidi kujikausha. Hiyo issue ya Perez kwa kadri ya day mail arsenal wanataka kulipa release clause kwa 2 installments na ni 16.9 pounds
Haaaaaa\aaaaaaaaaaa wenger msenge wa mwisho tena si kidogo
 
Imagine 16.9tu na usajiri mwisho next week bado wanabagain arsenal ni aibu
Tatizo sio babu mmiliki nayehafai na hana passion na mpira
 
Inabidi kucheza Kuna blog ya mashabiki wa arsenal UK inasema jinsi usajiri inayoendelea mashabiki wa arsenal inabidi kujikausha. Hiyo issue ya Perez kwa kadri ya day mail arsenal wanataka kulipa release clause kwa 2 installments na ni 16.9 pounds

Mkuu, issue imekwisha Arsenal wamemaliza biashara wamelipa fedha yote 20M.

Tunasubiri official confirmation.

Ikumbukwe Jamie Vardy alikataa kusajiliwa na Arsenal walipo-activate release clause yake ambayo ilikuwa ni hiyohiyo 20M.

Perez ana miaka 27 mdogo kwa Vardy kwa miaka 2 hivyo hiyo ni fair deal.
 
Group A: PSG, Arsenal, Basel, Ludogorets

Timu 16 kamili.

 
Group A: PSG, Arsenal, Basel, Ludogorets

Timu 16 kamili.


Wachawi wameumia sana na hii draw heeee heeeee..!Alhamdullilah ngoja nipumzike,ivi manure na ukawa wenzake wako kundi gani heeee heee watakuja na mapovu hapa
 
Group A: PSG, Arsenal, Basel, Ludogorets

Timu 16 kamili.

Wallah hili group babu labda aendeleze ile tabia yake ya kutopenda kuongoza. Vinginevyo baada ya miaka mingi hili tumepata fursa ya kuwa viongozi.
 
Wachawi wameumia sana na hii draw heeee heeeee..!Alhamdullilah ngoja nipumzike,ivi manure na ukawa wenzake wako kundi gani heeee heee watakuja na mapovu hapa
Everyone know your end is round of 16
 
Mustafi wa Valencia he is forcing exit. Arsenal have been asked to pay £26m for the player. Hopes the cheque is being signed by the last signatory

Valencia hawatakubali hiyo amount... The market is very inflated. Timu zinataka pesa nyingi kwa magarasa hasa mnunuzi akitoka England.
 
Mustafi wa Valencia he is forcing exit. Arsenal have been asked to pay £26m for the player. Hopes the cheque is being signed by the last signatory

Mustafi kwa sasa ni chaguo la tatu.

Yupo nyuma ya beki wa Villareal Mateo Musacchio na Beki wa Roma Costas Manolas.

Usajili ulipoanza Arsenal walijaribu kumsajili Musacchio kwa 12M halafu wakaamua kumsajili Rob Holding kwa 5M, sasa wanataka kurudi kwa Musacchio wanaambiwa inaweza kufika 20M.

Hivyo kuanzia leo mpaka tarehe 31 August, Arsene Wenger anatarajiwa kuamua ni yupi kati ya hawa anatakiwa kusajiliwa.
 
Wallah hili group babu labda aendeleze ile tabia yake ya kutopenda kuongoza. Vinginevyo baada ya miaka mingi hili tumepata fursa ya kuwa viongozi.

Yaani safari hii Arsenal hawana kisingizo tena.
 
Baada ya miaka mingi naona arsenal atamaliza akiongoza kundi uefa champions ligi, kwa hii psg ya leo naimani haitaweza kumpiga arsrnal
 
Daily mail wanaconfirm uaajiri wa striker Perez wa depotivo kwa pauni 16.9 millions kwa mkupuo mmoja.vile vile tumekubaliana na valensia kumsajiri cb mstafi kwa paund million 35.habari hii inauhakika kwani valensia wamekwisha sajiri beki wa kuziba nafasi ya mstafi. Arseblog ambayo ni blog ya mashabiki wa arsenal inaconfirm hbr hii pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…