Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa kama hawa wabovu wanatupiga hivi, itakuwaje kwa Man city au Chelsea
naona unaona aibu hata kuitaja Man u, kutana na sisi tuwapige 10 bila..

hahaaaaaa! yani nataman Man U tungekutana na Arsenal leo ili ajute kuchezana Man
 
Unajua mi kuna kitu najiuliza nakosa majibu
IVI unawezaje kuing'anga'nia kwa hali kama hii?
Kwani mlikula kiapo?
Mbona lile sio kabila wakuu mnaweza kuhama tuu kama ngongo
 
Nisiku nyinhi amekua akiambiwa hivyo lakini hakukuwai kua na tija ata siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…