Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mi nisha umia moyo mpaaaka yaani nimeacha
 
Sasa hili jamaa.miaka 10 halijashinda kombe kwann linangangania...lenyewe linazidi kutajirika tu inakufa jitu la hovyo sana hili...
 
Sasa hili jamaa.miaka 10 halijashinda kombe kwann linangangania...lenyewe linazidi kutajirika tu inakufa jitu la hovyo sana hili...
mzee pichu sana huyu yaani ye anona sawa si kuumia moyo namshangaa huyu mfaransa gani wa ajabu hivi
 
Kule ulaya wanasema ooh Afrika watu wanangangani Madaraka..
.lakini jitu kama hili bado liko miaka yote na halishindi kitu
 
Liva naona wametuma salam ya nn watafanya siku ya ufunguzi wa ligi dhidi yetu. Wamepiga mpira mkubwa sana.
 
Samahan kwa kuvamia huku...nipen channel ya mech ya leo chelse
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…