Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Endeleeni kuendekeza tetesi za arsenal misongo ya mawazo haitawaisha kamwe.

Mimi nimeshindwa kupambana nao sasa kambi yangu ya #WengerOut nimeivunja nimejiunga ya #InAWweTrust

Unapokuwa mpenzi wa Arsenal unatakiwa uwe tayari kutoyumbishwa.

COYGs!!!
 
Yah nimeupenda ule unetulia

Hizo unaweza kuzipata hapa: Training Tops at Arsenal Direct

Au kama upo London basi unaweza kwenda dukani kwao Ashburton Grove kununua kabisa.

gun__1359991355_shop_finsburypark.jpg

Duka la kisasa la Arsenal kwa nje.

gun__1405422376_armoury711.jpg

Duka la Arsenal kwa ndani.
 
Endeleeni kuendekeza tetesi za arsenal misongo ya mawazo haitawaisha kamwe.

Mimi nimeshindwa kupambana nao sasa kambi yangu ya #WengerOut nimeivunja nimejiunga ya #InAWweTrust
 
Arsenal leo wakipiga mazoezi laini kabla ya kupambana na Lens.

gun__1469104690_train21july.jpg

Serge Gnabry akijaribu kumtoka Francis Coquelin. Mzee Wenger akiangalia kwa makini.

zp_655674949_SM_3114_E9_5EDE3A_4399.jpg

Mohamed Elneny yupo fit.

zp_655674949_SM_3132_BE_5EDE3D_4079.jpg

Calum Chambers

zp_655674949_SM_1116_E9_5EDDF6_5093.jpg

Arsene Wenger na Kocha msaidizi Steve Bould wakifuatilia mazoezi.

zp_655674949_SM_1174_46_5EDDFD_5185.jpg

Vijana wakimsikiliza mzee Wenger.

zp_655674949_SM_1279_00_5EDE0D_9046.jpg

Viungo wa Mohamed Eneny na Gideon Zelalem wakiwa kwenye mazoezi.

zp_655674949_SM_1288_4A_5EDE0F_7327.jpg

Vijana Chuba Akpong na Francis Coquelin wakijiandaa na mtanange.

zp_655674949_SM_1322_A1_5EDE16_7887.jpg

Kipa wa tatu wa Arsenal |Emiliano Martinez.

zp_655674949_SM_1336_A6_5EDE1A_484.jpg


zp_655674949_SM_1367_AE_5EDE1E_4410.jpg


zp_655674949_SM_1383_8E_5EDE21_1616.jpg

Theo Walcott yupo.

zp_655674949_SM_3010_A0_5EDE37_2383.jpg

Per Mertesacker akijikumbusha mfumo wa ulinzi.

1469209477854_lc_galleryImage_ST_ALBANS_ENGLAND_JULY_15.JPG

Alex Oxlade Chamberlain

1469209097042_lc_galleryImage_ST_ALBANS_ENGLAND_JULY_21.JPG

Jeff Reine Adelaide

Chanzo cha picha: Arsenal.com
 
gun__1469183663_Holding-2.jpg

Rob Holding akiwa nje ya jengo la mazoezi lililopo London Colney.

Chanzo cha picha Arsenal FC

Arsenal leo wametangaza rasmi kumsajili beki wa kati Rob Holding kutoka Bolton Wanderers.

Kama ilivyo kawaida Arsenal huwa hawatangazi ada ya uhamisho.

Karibu Arsenal Rob Holding.

Nimemuelezea vizuri Rob Holding katika post yangu namba 48392
 
Daaah ikifikaga transfer period ndio naonaga vituko Uku Ireland kumbe arsenal tuko wengi usidanganywe
 
gun__1469183663_Holding-2.jpg

Rob Holding akiwa nje ya jengo la mazoezi lililopo London Colney.

Chanzo cha picha Arsenal FC

Arsenal leo wametangaza rasmi kumsajili beki wa kati Rob Holding kutoka Bolton Wanderers.

Kama ilivyo kawaida Arsenal huwa hawatangazi ada ya uhamisho.

Karibu Arsenal Rob Holding.

Nimemuelezea vizuri Rob Holding katika post yangu namba 48392
Kuna dogo wanamuita Gabriel Jesus mbrazil mbna Yuko safi Sana yule
 
BREAKING NEWS: Alexandre Lacazette anakata kuondoka Lyon kwenda Arsenal.

lacazette_630x354.jpg

Mshambuliaji wa timu ya Lyon ya France Alexandre Lacazette ameutaarifu uongozi wa timu hiyo kwamba anataka kwenda Arsenal.

Arsenal waliulizia kuhusu mchezaji huyu wakati wa michuano ya Euro 2016 na wakaambiwa zinahitajika kama pauni milioni 22 hivi.

Habari zaidi kufuata.
 
BREAKING NEWS: Alexandre Lacazette anakata kuondoka Lyon kwenda Arsenal.

lacazette_630x354.jpg

Mshambuliaji wa timu ya Lyon ya France Alexandre Lacazette ameutaarifu uongozi wa timu hiyo kwamba anataka kwenda Arsenal.

Arsenal waliulizia kuhusu mchezaji huyu wakati wa michuano ya Euro 2016 na wakaambiwa zinahitajika kama pauni milioni 22 hivi.

Habari zaidi kufuata.
Lacazette ni fighter mzuri kwa ubutu wetu pale mbele sio Siri aende tu itakua safi sana
 
Arsene Wenger kama akiamua kufuja tu pesa na kuvunja benki Arsenal itakuwa tishio kwa hii lineup.

Cn6dBJwWYAA46IX.jpg
 
Arsene Wenger kama akiamua kufuja tu pesa na kuvunja benki Arsenal itakuwa tishio kwa hii lineup.

Cn6dBJwWYAA46IX.jpg
Manolas Is not For sale mpaka ufikie £45mil waliyoweka AS ROMA, Riyad Mahrez nae ni £45mil

Sio rahisi Kutoa hizo Pesa kutoka Arsenal Board

Higuain Deal lake ni Impossible kwa umri wake na Value ni Crazy ukizingatia ana mwaka mmoja Katika mkataba

Release ya £97mil ni UCHIZI mtupu.

Napoli ni mawili wamuuze China wapige pesa au wabaki nae mkataba Uishe mwakani aondoke Bure

Maana Rais wa Napoli ni Mwehu Alidai Atletico walibid €60mil + Wachezaji wawili na Alikataa

Na watauza China inakoelekea Unless Hguain abadiri maamuzi aongeze Mkataba
 
Back
Top Bottom