Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Olivier Giroud alishindwa kumalizia mipira mingi iliyotengenezwa na viungo wa Arsenal na Jamie Vardy ataiweza kazi hiyo.
Unless kama mkiachana na mfumo wa 4-3-2-1..

And signing ya Vardy inamaanisha kwamba Wenger anakuja na mfumo mwingine next season..
 
Olivier Giroud alishindwa kumalizia mipira mingi iliyotengenezwa na viungo wa Arsenal na Jamie Vardy ataiweza kazi hiyo.
nmesoma sehemu kuwa, atatafuta ST mwingine tena baada ya Vardy? is that possible?

Au anataka kum-offload Giroud?
 
Laccazette, Icardi, Bacca, Chicharito, Nolito etc

I'd choose them over Vardy.

And am not denying kuwa Vardy ni good ST..

Jamie Vardy ana uzoefu wa ligi ya Uingereza na ni hicho tu.

Pili, wawakilishi wa Vardy walikuwa wakimsaidia (sounding out) mkataba mwingine mnono wa zaidi ya hiyo 80,000 anayopata huku akiwa na mkataba na Leicester ambao una kifungu kinachoruhusu timu ingine kuja na milioni 20.

Arsenal leo wameipiku Liverpool ambao nao walikuwa waingie na 140,000 kwa wiki.

Hivyo kwa mwendo huu kwa Vardy ambae anataka mkataba wa miaka 4 sio mbaya akistaafu kuchezea the Gunners.
 
nmesoma sehemu kuwa, atatafuta ST mwingine tena baada ya Vardy? is that possible?

Au anataka kum-offload Giroud?

Arsenal wameangalia sana uzoefu wa PL na akina Morata watachukua muda ku-adopt.

Jamie Vardy anakwenda moja kwa moja kwenye first eleven na anachukua nafasi ya Giroud.
 
Jamie Vardy ana uzoefu wa ligi ya Uingereza na ni hicho tu.

Pili, wawakilishi wa Vardy walikuwa wakimsaidia (sounding out) mkataba mwingine mnono wa zaidi ya hiyo 80,000 anayopata huku akiwa na mkataba na Leicester ambao una kifungu kinachoruhusu timu ingine kuja na milioni 20.

Arsenal leo wameipiku Liverpool ambao nao walikuwa waingie na 140,000 kwa wiki.

Hivyo kwa mwendo huu kwa Vardy ambae anataka mkataba wa miaka 4 sio mbaya akistaafu kuchezea the Gunners.
hahahahahaha.

Echo wamekataa kuwa tulikuwa interested na Vardy, hiyo report ya kwamba tulikuwa tunamtaka Vardy aliitoa John Cross ambaye wote tunajua ni BS merchant.

Maybe Wenger kaona uzoefu ndiyo una-matter kama ulivyosema. Yote yanawezekana. OR labda next season ni msimu wake wa mwisho Arsenal ndio maana he's going full kwenye transfer market.

Inanikumbusha Fergie alimvyom-sign RVP akiwa na miaka 29 na ulikuwa ni msimu wake wa mwisho Fergie, Labda anajaribu kufanya hivyo nae, manake ni nadra sana Wenger kusign 29 year-old player, unless kuwe kuna kitu, na ni massive offer kapewa Vardy kama ulivyosema hapo..bonge ya offer.
 
Arsenal wameangalia sana uzoefu wa PL na akina Morata watachukua muda ku-adopt.

Jamie Vardy anakwenda moja kwa moja kwenye first eleven na anachukua nafasi ya Giroud.
Yeah, nimeipata point yako..

but at 29??

huoni kama kuna kitu??

Wenger kutoa £20m kwa mchezaji wa umri huo, na the quoted wages ni ishara kwamba kuna kitu anajaribu kufanikisha kabla hajaondoka.


BUT, nimependa Jinsi Wenger anavyo-Act fast kwenye signings safari hii..ananifurahisha sana.
 
Yeah, nimeipata point yako..

but at 29??

huoni kama kuna kitu??

Wenger kutoa £20m kwa mchezaji wa umri huo, na the quoted wages ni ishara kwamba kuna kitu anajaribu kufanikisha kabla hajaondoka.


BUT, nimependa Jinsi Wenger anavyo-Act fast kwenye signings safari hii..ananifurahisha sana.

Lol

Ni kweli Wenger anaandaa mtu atakaechukua mikoba yake baada ya misimu kama miwili hivi.

Halafu safari hii anact kwa haraka sana kwani kulikuwa na Liverpool na Man Utd.

Man Utd wakaona wakimsajili Vardy watakuwa wanamnyima nafasi dogo Rushford na wakaachana na suala la Vardy.

Lakini sasa Man Utd watamsajili Ibrahimovic kama second choice striker na Rooney atarudi kwenye midfield kama namba 10, yaani attacking midfielder.

Ila hii tactical move ya Arsenal imechukuliwa hasa kuwazuia Liverpool.

Mourinho nae alikuwepo Wembley kumuangalia Vardy na ndipo leo jioni hii wazee mazungumzo wa Gunners wameingia Leicester.
 
Lol

Ni kweli Wenger anaandaa mtu atakaechukua mikoba yake baada ya misimu kama miwili hivi.

Halafu safari hii anact kwa haraka sana kwani kulikuwa na Liverpool na Man Utd.

Man Utd wakaona wakimsajili Vardy watakuwa wanamnyima nafasi dogo Rushford na wakaachana na suala la Vardy.

Lakini sasa Man Utd watamsajili Ibrahimovic kama second choice striker.

Ila hii move imechukuliwa kuwazuia Liverpool.

Mourinho nae alikuwepo Wembley kumuangalia Vardy na ndipo leo jioni hii wazee mazungumzo wa Gunners wameingia Leicester.
Yeah, Uzuri wa Vardy ni English Player, wale huwa wanacheza kwa Pride zaidi, tofauti na Foreigners, so kwa Vardy kutakiwa na Arsenal ni kitu kikubwa sana kwake, haijalishi alipata mafanikio gani msimu uliopita na Lei..English players wengi wanakuwa wakiwa na dreams za kuzichezea Arsenal/Liver/United ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

So ilikuwa ni Easy Call kwa Wenger, Vardy hana uthubutu wa kuiturn-down Arsenal.

Lol, na wachezaji wengi sana wanasemaga ni ngumu sana kuturn down Wenger's phone call..

kitu kizuri kuhusu Vardy atacheza kwa Passion, ni kila dream ya English players kufanikiwa katika hizi Big clubs za England.
 
Yeah, Uzuri wa Vardy ni English Player, wale huwa wanacheza kwa Pride zaidi, tofauti na Foreigners, so kwa Vardy kutakiwa na Arsenal ni kitu kikubwa sana kwake, haijalishi alipata mafanikio gani msimu uliopita na Lei..English players wengi wanakuwa wakiwa na dreams za kuzichezea Arsenal/Liver/United ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

So ilikuwa ni Easy Call kwa Wenger, Vardy hana uthubutu wa kuiturn-down Arsenal.

Lol, na wachezaji wengi sana wanasemaga ni ngumu sana kuturn down Wenger's phone call..

kitu kizuri kuhusu Vardy atacheza kwa Passion, ni kila dream ya English players kufanikiwa katika hizi Big clubs za England.

Kuna chawi moja hivi waga sijui kwanii haipendi arsenal kiasi hicho, wenger asipofanya usajili mzuri anaponda, asipofany vzr mwenye ligi anaponda ss now wenger anafanya usajili mapema bado kwake shida, saizi anamwambia vardy asiende arsenal. Gary lineker
 
Kuna chawi moja hivi waga sijui kwanii haipendi arsenal kiasi hicho, wenger asipofanya usajili mzuri anaponda, asipofany vzr mwenye ligi anaponda ss now wenger anafanya usajili mapema bado kwake shida, saizi anamwambia vardy asiende arsenal. Gary lineker
hahahahahaha.

Lineker ni die hard fan wa Leicester, lazima aumie kuondokewa na mchezaji wao muhimu sana.
 
Kuna chawi moja hivi waga sijui kwanii haipendi arsenal kiasi hicho, wenger asipofanya usajili mzuri anaponda, asipofany vzr mwenye ligi anaponda ss now wenger anafanya usajili mapema bado kwake shida, saizi anamwambia vardy asiende arsenal. Gary lineker

Ndio maana Gary Lineker aliulizwa na Pierce Morgan mbona anaingiwa hofu?

Hii move imewastua watu wengi ambao ni "pundits" kwani baada ya Wenger kukutana na "mtaalam wa usajili" bwana David Dean, basi akachukua hatua za haraka.

David Dein ndie aliewaleta Arsenal- Patrick Vieira, Thierry Henry, Denis Bergkamp. Slyvain Wiltord na mkoba wa maana Sol Campbel ambae walimsajli kutoka Tottenham Hotspurs, ambao mpaka leo hawatamsamehe kwa kitendo kile.

Hii move ya Vardy ni ya aina yake, na wapenzi wa Leicester wataelewa tu.
 
Ndio maana Gary Lineker aliulizwa na Pierce Morgan mbona anaingiwa hofu?

Hii move imewastua watu wengi ambao ni "pundits" kwani baada ya Wenger kukutana na "mtaalam wa usajili" bwana David Dean, basi akachukua hatua za haraka.

David Dein ndie aliewaleta Arsenal- Patrick Vieira, Thierry Henry, Denis Bergkamp. Slyvain Wiltord na mkoba wa maana Sol Campbel ambae walimsajli kutoka Tottenham Hotspurs, ambao mpaka leo hawatamsamehe kwa kitendo kile.

Hii move ya Vardy ni ya aina yake, na wapenzi wa Leicester wataelewa tu.

ila km wenger atamchukua vardy basi kweli safari hii atakuwa kaamua kuweka upinzani, maana hawa makocha wapya watamuaibisha sana km hatobadilika
 
Arsenal wameangalia sana uzoefu wa PL na akina Morata watachukua muda ku-adopt.

Jamie Vardy anakwenda moja kwa moja kwenye first eleven na anachukua nafasi ya Giroud.
Good deal kwa arsenal..bit of a risk coz hatujui vardy ni one seasonal wonder au he will carry form yake ya msim uloisha..but in terms of what he brings,he will fit well at arsenal.

Tatizo tumemuona vardy akicheza kweny counter attacking team. Ndo ubora wake umeonekana hapo..arsenal wanaplay counter attacks at times ila mainly they are possession and passing team..

Ukicheza kweny counter attacking team. Ni speed on the break ndio inamatter zaid.n vardy is very speedy

But ukicheza kweny team ambayo inacheza heavy possession football kama arsenal striker lazima uwe na good close controll..great first touch
.hivi vitu vardy vinamsumbua.
 
Back
Top Bottom