Mabeki wa Arsenal walikuwa wmepanda sana na hivyo kumfanya Willian kutoa pasi ilopita katikati yao na kumkuta Costa.
Kwa hali hiyo ilitakiwa Mertesacker amwache tu Costa aende na kuomba Cech akabiiane nae na pengine hata Bellerinangeweza kumkuta Costa.
Ni about "decision making process", ukikosea tu mahali basi unaathiri mpango mzima.