Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wacha1 hapo ndipo nakukubali huwi nnazi Kama mijitu ya old toilet ILA sio wote pia kule Ni minazi ILA inajijua Profesa atakuwa anawanyima raha kuwa kileleni.
 
Wacha1 hapo ndipo nakukubali huwi nnazi Kama mijitu ya old toilet ILA sio wote pia kule Ni minazi ILA inajijua Profesa atakuwa anawanyima raha kuwa kileleni.
Old toilet ?...Cku hz tunadharaulika !!!!!
 
Kops wamejitahidi, one of those days, we are OK so far hatukupoteza game Loser fools hongera zao kwa sababu tumepoteza point 4 kutoka kwao musimu huu, labda tukutane nao tena kwenye FA cup vinginevyo tumemalizana nao. Kuanzia wiki ijayo Alexis atakuwepo kumsaidia OG.
alexis ni pengo,kuna nishat haipo arsenal,pia wenger anafanya kosa lile la kumtoa campbel,iltakiwa amuingze arteta tu,campbel anakaba sana
 
tumefungwa goli la 3 rahisi sana....ili tushinde huu msimu inabidi tuwafanye waogope ila tunashindwa kufanya hivyo; kwa matokeo ya leo kiukweli nimekuwa disappointed sana
Nimekuwa very dissapointed, ila point moja si mbaya ukilinganisha na wapinzani wetu na matokeo makubwa, kila tukicheza OPEN FOOTBALL na timu zinazo PRESS sana huwa tunashindwa kuzikabili, HASA tunapokuwa na Flamini, huyu jamaa huwa naona anatoa maelekezo sana kwa wenzake uwanjani badala ya kucheza, always gesticulating on the pitch!
Chambers anafaa zaidi kuliko Flamini ktk DM, hii open football tunayocheza dhidi ya Barca watatumaliza!
Alafu kitu kingine, Arsenal kwenye mvua huwa tunapoteana, tofauti na timu zingine! Refer game zingine za mvua ikiwemo ya Southampton!

NOTE: LEICESTER CITY SHOULD BE TAKEN VERY SERIOUSLY AS TITLE CONTENDERS, naona mitihani niliyodhani wangeanza kuishiwa pumzi wanafaulu bado!
 
Ahlaaa kumbe unakuja huku Na kule kote unajifanya rafiki kumbe adui mchinganyishii everlenk tehteh game Leo ilikuwa kali inakila kitu mazuri,mabaya Na mvua Na snow haikuwa boring za Old Traford Ss everlenk kaa mkao mzuri mkija nyie Anfield tunatoboa
Tehetehe tehehe ndo kazi ya usaga sumu lazima usage kotekote.......kwa kweli mtani sitakubali hilo litokee nitarara na wewe mbele kwa mbele( in Magufuli's voice),mimi siko poa lakini jogoo nitalichinja.
 
alexis ni pengo,kuna nishat haipo arsenal,pia wenger anafanya kosa lile la kumtoa campbel,iltakiwa amuingze arteta tu,campbel anakaba sana
Kummiss Alexis labda sababu ya kukaba, ila Campbell nae anakaba balaa! Sidhani kama tumemmiss sana Alexis hasa mechi ya jana! Tunammiss sana Le Coq. Hili ndo pengo ambalo linaweza kutugharim, flamini na Arteta hii namba hawaiwezi tena, angalau Chambers maana dhidi ya Sunderland chambers aliimiliki DM fresh kabisa! Le Coq ndo tunammiss na sio jamaa wa Fc Basil toka ligi ndogo ndo wa kutuvusha!
 
Alitakiwa amtoe giroud
OG mzuri sana akipewa mpira, he holds up the ball na kuruhusu wenzake wajipange! Mechi ya jana ilikuwa inamhusu! Pia aerial balls yuko useful on both ends of the pitch.
 
Wakuu wa Gunners hakuna wasi wasi our home run is good na Alexis anarejea maana Theo kavurunda leo kwa goli la kwanza na Cech -mate goli la tatu too soft. I can understand Wenger's anger. Wachezaji wamepata kila kitu mvua, snow na baridi.
Akirudi Coq tunafunga biashara in two weeks.
In a typical English game iliyokolezwa na mvua, Arsenal huwa hatuperform. I cant wait for Sunday, hopefully it never rains against Stoke, maana itakuwa sawa na game imepelekwa uwanja wa Twickenham stadium! Nafikiri wanipata.
 
3028B1EF00000578-3398430-image-m-46_1452771201319.jpg


3028B22A00000578-3398430-image-m-63_1452771483603.jpg


Arsenal signing Mohamed Elneny targets all three trophies this season after midfielder completes £5m move from Basle


 
The Arsenal manager believes that “intermediate stay in Europe” will help Elneny to acclimatise to life in London.

“Overall I believe he will be a good addition to the squad,” the boss told Arsenal Player. “First he has not come in straight to a big club, he had an intermediate stay in Europe so the adaptation is less of a question mark.


“He is 23 years old and has already got Champions League, Europa League and Swiss League experience. He is a player who is adaptable in midfield.


“He can be box to box and be a holding midfielder so that is for us very promising. We wanted a versatile player and I wanted a player who can play defensive but can as well play to box to box.

“His strengths are his technical level, his vision, his intelligence, his disciplined attitude and his physical attitude to compete at a high level. I think he has the physical qualities to play at the top level.


“Where he needs to adapt is to the challenges, the force needed in the Premier League to survive. I think that could demand a little bit of adaptation. But overall I think he has all the attributes to do well.”


Read more at Wenger - Why Elneny can be a success
 
Tatizo nililoliona katika mechi ya jana ni kutocheza mpira wetu wa kawaida badala yake tukacheza jinsi Liverpool walivyotaka tucheze. Midfield yetu na beki zilipwaya kwa kiasi Fulani. Btw draw haikuwa mbaya. Tunatakiwa tushinde mechi 3 zijazo vs Stoke city na Vs Chelsea na vs Southampton ili tujiweke vizuri kileleni maana hawa Leicester wanatishia mkubwa nyau..
 
gun__1452767428_elneny3.jpeg


Mohamed Elneny (35)
Ametua rasmi ... ... . kijana kutoka Misri


ad_193128400-e1452770387959.jpg

 
Last edited:
fotorcreated3.jpg


Kelechi Nwakali and Samuel Chukwueze
Wanatarajia kutua Emirates kutoka Nigeria
17 and 16 years respectively
 
499167170-e1452764791989.jpg


Alexis atakuwepo kwenye mtanange wa Stoke J2 ... ... away match Kick off 16:15 GMT
 
302B496900000578-3398430-image-m-19_1452791412119.jpg


302B48C700000578-3398430-image-a-6_1452789669807.jpg


302B497D00000578-3398430-image-m-8_1452789692105.jpg


Arsenal's new signing Mohamed Elneny pictured training
on Thursday after his £5million move from Basle
 
3028B1EF00000578-3398430-image-m-46_1452771201319.jpg

Arsenal signing Mohamed Elneny targets all three trophies this season after midfielder completes £5m move from Basle
Huyu kijana ni mzuri. Ana style ya Patrick Vieira. Kwa acceleration anakaribiana na Ramsey, OX-Chamb na Bellerin.
Lakini mziki wa Barca utakuwa kiburudisho.

 
Back
Top Bottom