Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,635
- 25,614
Hivi Sanchez bado kupona?
Sanchez kapewa muda zaidi wa kupumzika hadi January.
Hivi Sanchez bado kupona?
Tusipoongoza ligi leo! Ubingwa kwaheri!
tatizo la wachezaj wetu wa
arsenal wanacheza tu ilimradi tu bas, hawajui wanacheza kutafuta nn
Dakika zimebaki 6 mchezo uende mapumziko na Southampton wanacheza kwa bidii kwelikweli.
Walcooott oh no anapiga nje ya wavu.
Hili gazeti ni kama Mawio au Mwanahalisi hapa Tz. Udaku!