Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Congs guys! hope u stressed urself to have this scoresheet!
 
safiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

nimeipenda hio kukusanyika pamoja inatia moyo lol.
 
Arsenal 3 points behind Chelsick mwaka huu tutaona mwezi May tutakapokuwa tuna-compare notes na wapinzani wetu. Good work vijana wa Arsenal ingawa Ramsey hatujui hali yake.
 
Ushindi mnono huu..Taratibu tunaelekea kileleni😀😀😀...Hongereni sana Arsenal
 
Arsenal 3 points behind Chelsick mwaka huu tutaona mwezi May tutakapokuwa tuna-compare notes na wapinzani wetu. Good work vijana wa Arsenal ingawa Ramsey hatujui hali yake.
huu ushindi ninahuakika umewapa moyo sana vijana na tutaendelea kazi.

haya mambo ya international break ndio yanachanganya habari saa hizi.wachezaji unakuta wanapata injury za kipumbavu huko.
 
mpaka mzee peasant kapoteza fahamu nae ? manake masanilo ni kawaida yake siku kama ya leo huwa anazimia kabisa.
 
Ramsey kaumia vibaya sana wakuu,inawezekana zaidi hata ya Eduardo...Mungu amponye haraka arudi uwanjani na kuweza kucheza tena mpira kama ilivyokuwa kwa Eduardo
 
Hongera wakuu wote hapa kwenye jamvi letu! Kama vijana wangejitahidi kushinda mechi zilizobakia, ubingwa ungekuwa wa kwetu bila shaka! tusubiri tuone mwisho wa league!!
 
_47387380_bendtner_pa341.jpg



Arsene Wenger's side respond well to
the early setback and level on 32 minutes
when Nicklas Bendtner (left) guides a fine
header beyond goalkeeper Thomas Sorensen
 
naona Song atamiss mechi mbili ya burnley na hull city.i hope hizi tutashinda manake bila yeye pale kati ngoma inakuwa ngumu sana.
 
_47387724_008857614-1.jpg

Ryan Shawcross leaves the pitch
in tears after his challenge on Ramsey


Ukweli wa mambo FA lazima wawachukulie hatua hawa wachezaji wanaokwenda kuumiza wenzao kwa sababu kila timu kwenye PL wanasema ukitaka kuwafunga Arsenal ucheze mpira wa maguvu na kuwafanyia fujo ni aibu kwa wapenda soka kwa tabia za kimafia mafia.
 
March F A
tv-icon.gif
06 Sat Barclays Premier League H Burnley 15:00 ATVO 09 Tue UEFA Champions League H FC Porto 19:45 SS2 13 Sat Barclays Premier League A Hull City 17:30 ESPN 20 Sat Barclays Premier League H West Ham United 17:30 ATVO 27 Sat Barclays Premier League A Birmingham 15:00 ATVO 30/31 UEFA Champions League N Quarter-Final 1L 1
 
So far tyupo point 3 nyuma ya 'wapenda vimwana' Chelsea na point 2 nyuma ya Man Utd...Ukweli ni kwamba vijana wakikomaa ubingwa unaweza kuwa ni halali yetu mwaka huu,hasa ukizingatia tayari tushamalizana na wakali Man Utd,Chelsea na Liverpool...YES WE CAN!!!!
 
Chelsick msikimbie jitokezeni ndio PL hiyo sio mnaibuka tukifungwa tu.
 
Back
Top Bottom