barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,803
Okei, asante sana kwa kunielewesha hilo.Yes ni sawa kwasababu dirisha la uingereza huwa linafungwa saa sita usiku.
Pia timu yoyote ya Uingereza inaweza kumsajili mchezaii kutoka ligi zingine za Ulaya, mfano Arsenal ilimsajili Mesut Ozil dakika za mwisho au Mikael Arteta ambae alitoa transfer request kwenye saa nne na nusu hivi kabla ya kwenda Arsenal.
Hivyo Dirisa la usajili katika nchi zingine za Ulaya linafungwa kwa timu za ndani ya nchi hizo na sio Ulaya nzima.
Spain wakifunga ni kwamba timu za Spain haziwezi sajili tena but wanaweza kuuza mchezaji nchi nyingine
Sijaelewa yani ndio transfer window closed
ndo manake jombaa
Means tuko vile vile sio duuh
Duh wenger anapanda economy class . Kweli mzee huyo noma
Mkuu nimecheka sana...
Hahaaa....nicheke Nakapanya mimi,niliposema chini ya LVG Man Utd haitopata mafanikio yoyote watu walinibeza humu,leo wenyewe wameanza kuuona ukweli.
LVG hagai kuendelea kuwepo Man Utd,na tukiendelea kumshikiria basi tusahau mafanikio.
#SAYNOTOLVG
TRANSFER UPDATE:
Hatimaye arsene wenger amesajil striker kwa £25mill na amesaini mkataba wa miaka 4
Transfer updates
Wenger amemsajili rasmi Petr Cech. Timu ya Arsenal imekamilisha kikosi chake kwa kushinda bahati nasifu ya kuleta world class keeper.
Na Arsenal itaendelea kutetea kuwa katika top 4.
Ukiwa shabiki wa Arsenal, unatakiwa uwe na roho ya paka na moyo wa titanium alloy.
Prof. alishasema ni baada ya mechi 15 ndio mwelekeo wa EPL utajulikana.
TRANSFER UPDATE:
Hatimaye arsene wenger amesajil striker kwa £25mill na amesaini mkataba wa miaka 4
Jezi namba 18 anavaa nacho monreal, sasa hapo inakuaje?
we na we inamana humjui meakmeal uyo ni rapa wa marekani katupia jezi tu..usiabishe ayo majina ya mangi mkuu