Nkukumbushe tu kua hao wanaitwa göönerz sasa usinikumbie tuuu mana kwetu tuna ghala la silaha za kivita so pole
Mishale ilishindwa kufunguka kwa Westham, sisi tunakuja kuipiga moto kabisa ghala hiyo ya silaha za kale EPL
Nakudunda hapo hapo hata ndugu zako Wacha 1 anajua ndiyo maana yupo kinywa
Aaah seeh! Wewe kuipiga arsenal uli na mbombo tena ngafu ngafu haswa yani endelea kuota
mh!! liver nao....ati wanachonga pia
Arsenal mbona kimya kuhusu benzema?
Arsenal mbona kimya kuhusu benzema?
Jamani, hivi Game Theory, muasisi wa huu uzi wa Arsenal yuko wapi? mara ya mwisho yeye kuwa active ilikuwa 2012, HOMEPAGE yetu IMEPOOZA sana kuliko HOMEPAGE zote za timu humu, inahitaji updates kibao! Yeye ndo mtu wa kui-update, kama vipi, Moderator, Invisible iunganisheni hii thread na thread ya mtu ambaye yuko active ktk uzi huu awe kama administrator ili awe anafanya updates, ningependekeza Wacha1 au rubaman.
Wadau nimepata tetesi kuwa dau la kumng'oa benzema real madrid limekubaliwa!!
Embu tutumia source na ss tuone ( link)
Benzema or Muller before the window closes... Ikitiki wataimba.