Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema si mbaya LES GET BACK UP najua itakua poa.....ushujaa uanzaga kama utani
 
Washabiki wa wa timu ya Arsenal wasipoupata ushindi ndani ya Arsenal watautafuta kwa timu nyingine... Manake Arsenal sio mama yao wala baba yao... πŸ˜€πŸ˜€
 


Cech mate! Six years so far hatujashinda opening game ya EPL .... ... .
3 points loss .... ...... ......
 


Carz in action .... ..





OG was knocked out ..... ..



Ozil and a 16 year old boy .... .....



Ox .... ...








Prof was angry at the referee after a soft free kick which resulted in a goal ....



Cech was not at his best ... ..... ..

 

Ni kweli heri uweke akiba ya maneno maana na jpili ni kimbembe pale kwa palace usije maliza maneno leo jpili ukakosa ya kuongea. Ila narudia usemi wako "tusikimbiane tu"
 

Ahsante mkuu mimi napenda mpira na Arsenal ni timu nnayoipenda sana.

Ila mimi sikucheza sana mpira lakini nnacho kipaji cha kuchambua wachezaji na hivi karibuni nimejiunga na mascouts walio na kazi ya kutafiti wachezaji.

Tatizo wachezaji wa kutoka Afrika kwa sasa ni vigumu sana kupenya labda waende kwa mpangp wa baadhi ya watu walio na connections kwenye timu za Ulaya.

Lakini kwa muda wote ambao nimeishi katika bara la Ulaya nimejifunza u-scout wa kutafuta vipaji vya wachezaji.

Hivyo nikiwa uwanjani pamoja na kwamba naisupport Arsenal lakini pia huwa naangalia new edition against the established na ndio kilichotokea leo.

Dogo Reece leo ndio ilikuwa ndio mechi yake ya kwanza ya ligi kuu ya Uingereza na ameonyesha kwamba anaweza kukabiliana na watu kama Ozil pale kwenye kiungo.

Pia leo yeye alikuwa ndie DM wa West Ham.

Ukuzaji wa vipaji na ukaviendeleza ndio njia pekee ya kuwa na timu imara yenye wachezaji walozoeana.

Lakini ikifika wakti fulani unatakiwa uangalie na uzoefu pia na juzi tu Henry amemwabia Wenger kwamba Giroud sio mmaliziaji mzuri na inabidi Wenger amsajili Benzema, amemwambia ukweli bosi wake wa zamani.

Hivyo kama kweli Benzema yupo London hivi sasa, basi atakamilisha usajili wiki hii.
 
Reactions: Nzi
Hahahaaaa nimecheka balaaa
 

Attachments

  • 1439179780421.jpg
    15.8 KB · Views: 140
Watachonga kweli, ila wakumbuke ni ka game ka kwanza, wazushi balaa aise...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…