Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wapenzi wa siku hizi tunataka ya leo leo leo keshokutwa hatujui itakuja. Wachezaji wa leo sijui wangetoka wapi kama hakuna mtu angewasajili juzi.

Dats y mmefunga miaka 10+ mkisubiri hao makinda waje wawape EPL.
 
wenger kasajili vikinda viwili yani uyu mzee sijui anatuonaje sisi

Mambo ya Prof kusajili makinda wawili tuachie sisi wenye share, wewe kama mshabiki hayakuhusu. Ulikuta vinaelea utaviacha vinaelea.

Patamu sana hapo kudos Le Prof ... ... ..... .... Ding ... .... Dong. Hata wakati uwanja unaanza kujengwa walitubeza vivyo hivyo.
 
Transfer Updates.

Wakuu mambo yanafanywa kwa siri sana na wachezaji mmoja au wawili watatangazwa kabla ya muda wa usajili kwisha,

Ila katika orodha niliyoweka ya wale watano, inaonekana Llorente ndie amepatikana na anakuja kama back-up kwa Olivier Giroud na Juventus wamekubali paundi 10milioni.

Hata hivyo tunawatakia kila la kheri wachezaji kadhaa ambao wameenda kuchezea timu zingine barani Ulaya.

szczesny_630x315_630x315.jpg

Wojciech Sczzesny amekwenda timu ya Roma ya Italy kwa mkopo wa msimu mmoja.

diaby_630x419_630x419.jpg

Abou Vasiriki Diaby amekwenda nyumbani France ambapo atakuwa akichezea timu ya Olympic de Marseille. Diaby amekataa kuchezea timu za West Brom Albion na Liverpool ambao ni wapinzani wa Arsenal kwenye ligi kuu.

Pamoja na hawa kuna wachezaji wengine kama Ryo Miyaichi ambae amekwenda kuchezea timu ys St Pauli ya daraja la pili huko Germany.

Yaya Sanogo amekwenda Ajax Amstredam ya Holland kucheza kwa mkopo.

Mathieu Flamini amekwenda Garatasaray ya Turkey bila sda yoyote.
 
Transfer Updates.

Wakuu mambo yanafanywa kwa siri sana na wachezaji mmoja au wawili watatangazwa kabla ya muda wa usajili kwisha,

Ila katika orodha niliyoweka ya wale watano, inaonekana Llorente ndie amepatikana na anakuja kama back-up kwa Olivier Giroud na Juventus wamekubali paundi 10milioni.

Hata hivyo tunawatakia kila la kheri wachezaji kadhaa ambao wameenda kuchezea timu zingine barani Ulaya.

szczesny_630x315_630x315.jpg

Wojciech Sczzesny amekwenda timu ya Roma ya Italy kwa mkopo wa msimu mmoja.

diaby_630x419_630x419.jpg

Abou Vasiriki Diaby amekwenda nyumbani France ambapo atakuwa akichezea timu ya Olympic de Marseille. Diaby amekataa kuchezea timu za West Brom Albion na Liverpool ambao ni wapinzani wa Arsenal kwenye ligi kuu.

Pamoja na hawa kuna wachezaji wengine kama Ryo Miyaichi ambae amekwenda kuchezea timu ys St Pauli ya daraja la pili huko Germany.

Yaya Sanogo amekwenda Ajax Amstredam ya Holland kucheza kwa mkopo.

Mathieu Flamini amekwenda Garatasaray ya Turkey bila sda yoyote.

Szczeny ndo imetoka hiyo kama vile kina Manninger enzi zile. Tuone kama Roma watampa ruhusa ya kupiga selfie na kuvuta fegi
 
Walcott na cazora teyari wameongeza mikataba yao, sasa babu huu ndio muda mwafaka wa yeye kununua striker Mpya maana walcot alikuwa anatia ngumu kwakuwa anataka kupewa jukumu la number 9
 
BBlg83D.img


Ding ... .... .... Dong ..... .. ..
Theo aliomba mshahara wa 100,000 kwa wiki
Prof kafanya kufuru kampa 140,000 kwa wiki moja
Thats the intention of the club to keep its super stars .... .... na bado anapepesa macho kuangalia nani atue .... ... Emirates kabla dirisha kufungwa.
 
Habari za kuvunjika. Inaelekea watu wanazidi kukimbia mtaa wa 7. Wapangaji wawili wamegoma kuingia mikataba ya kuendelea kuishi katika mtaa huo.
 
Mambo ya wenger mwachieni wenger la sivyo mtajipa stress bure yule babu ana akili mpaka zimemzidi
 
2B03E5D200000578-3182282-image-a-79_1438438922928.jpg


Prof alikuwepo kuangalia mazoezi ya mwisho mwisho ..... .... ..
Na amechema hatutaki Ngao yetu iondoke ....Ding ... Dong

2B03E72D00000578-0-image-a-16_1438434917408.jpg


Ozil ..... ..... Colney hapo .... ..

2B03E65600000578-0-image-a-19_1438434975979.jpg


2B03E92800000578-0-image-a-22_1438435045086.jpg


Cech in ... ... ..

2B03E85800000578-0-image-a-25_1438435093549.jpg


Makipa wa Gunners ... .. Emiliano Martinez (left) and David Ospi


2B03ECA200000578-0-image-a-28_1438435157265.jpg



2B03EB4400000578-3182282-image-a-73_1438437273562.jpg


OG alikuwepo ... ...

2B03E66600000578-0-image-a-34_1438436278886.jpg



Gaby and Per . ... .. .


2B03E72100000578-0-image-a-37_1438436453465.jpg


2B03E9E800000578-3182282-image-a-70_1438437139866.jpg



2B03EB6000000578-3182282-image-a-76_1438437631159.jpg


2B03E64F00000578-0-image-a-46_1438436687696.jpg


2B03EB9C00000578-0-image-a-51_1438436744416.jpg



2B03EC1E00000578-3182282-image-a-67_1438437046666.jpg


Asiye na mwana aeleke jiwe ..........



 
Back
Top Bottom