Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Tatizo unasoma na kusikiliza magazeti ya udaku.

Taja mchezaji (wa under 27 ikiwezekana) ambaye Sky Sports waliripoti kuwa United walipeleka ombi rasmi na kukataliwa! Fanya hivyo kuonyesha huo ugumu ambayo United imepata...

Morgan akasaini dili J5...hapo United inakuwa imebakiza CB 1 na ST 1....
 

Huyu gooner nimemshangaa kweli! Yaani anajifanya hajui udaku wa habari za usajili wa wachezaji...
 



When you play with a small club you want to move
to a bigger club ....



Colney hapo .... ....... ...




Done deal and sealed .... .. .



Good signing


 
Vimburukenge havikuchelewa kuanza kumsimanga .... .. .





















Burning Cech jerzey ..... .. na bado!

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nicheke mie khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
kuwapa Arse88 petr Cech ni sawa na kumpa kibibi kizee iPhone 6.. hajui jins ya kuitumia .... waste of talent
 

hahahaha naona hii post imetonesha vidonda.. Kila siku naona mnakuwa linked na wachezaji waliofikia ukingoni mwa career zao. Kulinkiwa na kutaka wachezaji huwa sometimes vinahusiana sababu media huwa zina fununu ya transfer activities za kila timu kipindi kama hiki. Post SAF era mmekuwa na wakati mgumu wa kuattract wachezaji wa kesho na keshokutwa. Kifupi timu yenu inaelekea kuwa kama timu za Uarabuni na MLS ambapo wachezaji wanakwenda kushindilia pensions zao kabla hawaja retire eg Victor Valdes lol. Muda si mrefu Schweinsteiger, Airjen Robben nao watakuja kujizolea pesa. Liverpool imewazidi kete kubeba allegedly transfer targets wenu Firmino na Clyne, najua mtasema hamkuwataka LOL
 


LOL Firmino, Clyne(mmepiga debe dogo kaona jahazi ndio limeshaanza kuzama). unataka wengine? Morgan bado hajasaini anaweza kuanza, dogo anataka kucheza UCL na hamja guarantee hiyo spot.
 

hao potential players ndio wameitoa Liverpool nafasi ya pili msimu ule na kuirudisha nafasi ya 5, wakarundika wachezaji weeengi potential timu ikakosa balance,
 

Unasajili wachezaji kutokana mahitaji yako sio fasheni waulize Spurs na Liverpool,sio unanunua mchezaji halafu next season unahangaika kumuuza wachezaji tunaowahitaji sana kwa sasa ni CB na DM (mrithi wa Carrick) nafasi nyingine zinategemea kama tutauza (GK,Striker).Kuhusu umri baada ya kuondoka Vidic,Rio,Evra timu imekosa viongozi hasa defence (Shaw,Blind,Rafael,Jones,Blacket,Smalling,Rojo) wote hao ni U27.John Terry pamoja na umri mkubwa still ndio roho ya timu ya Chelsea
 
Reactions: Nzi
LOL Firmino, Clyne(mmepiga debe dogo kaona jahazi ndio limeshaanza kuzama). unataka wengine? Morgan bado hajasaini anaweza kuanza, dogo anataka kucheza UCL na hamja guarantee hiyo spot.

Tuna wachezaji wa kingereza wa kutosha (Carick,Rooney,Jones,Smalling,McNair,Wilson,Shaw,Young ) hawa wanatutosha mwache Rodgers aendelee kuwatengenezea timu ya waingereza
 
Reactions: Nzi
Tottenham imefika robo fainali ya UCL Mara nyingi kuliko Arsenal katika hii miaka 6 ya mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…