Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmemuona Campbell?
haya, tuendelee kimya kimya... SShsshhhhhhh....!!!
 
Akina 'Mbu' na wenzako leo mtazinduka nakwambia na hawa Wareno, ila kudadeki kipa wao yule ka pazia, jaribuni za mbali.
 
Huyu Sagna ni msauzen Sudan?, au london hakuna lotion?, mb kapauka hivyo?
 
Huyu Sagna ni msauzen Sudan?, au london hakuna lotion?, mb kapauka hivyo?
Ngoja nijijibu;
Kumbe tatizo ni mishahara kiduchu ka wafanyakazi wa TRL, i mean maafande! Lol!,
 
Yaani kwa beki yenu uchochoro na kipa bomu, ka hii, mje au tuje Emirata, tungewagonga nusu dazani kudadeki.
 
Go Campbell ... Terry asipoangalia namba yake ya England itaota mbawa
 
Yaani kwa beki yenu uchochoro na kipa bomu, ka hii, mje au tuje Emirata, tungewagonga nusu dazani kudadeki.

Ngeli tu hizo, ehhe he he eehe he!
Leo sisi kimya kimya tu...

Kahawa na halua sasa...Half time.
 
Kwa kuwa unaona mambo mazito ndio maana unaomba muwe ikmya sio?!! Mbona jana mlikuwa mnachonga sana kwa ManU??!!

Hamna hiyo ni style yetu tu ya kushangilia(fuatilia post za game za nyuma utaona),sasa hivi hatutaki maneno miiiiiingi...kimyakimya...kama vuvuzela vile japo yenyewe makelele mingiiii
 
Yaani kwa beki yenu uchochoro na kipa bomu, ka hii, mje au tuje Emirata, tungewagonga nusu dazani kudadeki.

Ni mara 10 ya Campbell kuliko Ferdinand,jana Milan walizembea tu,beki yenu ilikuwa mbovu sijapata kuona,game ijayo mkichezesha beki ya jana Milan lazima wazae na nyinyi mapacha wanne(04)
 
Vijana wamejitahidi mnoo mpaka dakika hii,wamewza kuihimili kasi ya Porto...Rosicky kacheza vizuri sana 1st Half,Fabianski ndo hivo tena ana tatizo la kujiposition golini(mapepemapepe hivi,hatulii,kama Almunia tu)

Pia bado tunahitaji mshambuliaji wa aina ya Drogba na Rooney au Robin Van Persie,mwenye uchu wa magoli,tunahitaji mshambuliaji mwenye nguvu na anayeweza kujaribu kufunga hata akiwa mbali...pale mbele hatuna mshambuliaji kabisa
 
Wacha1: naona anapata Hedex kidogo kupunguza maumivu ya kichwa, kan-PM, preshaaa imepandaaaaa,.
 
Ni mara 10 ya Campbell kuliko Ferdinand,jana Milan walizembea tu,beki yenu ilikuwa mbovu sijapata kuona,game ijayo mkichezesha beki ya jana Milan lazima wazae na nyinyi mapacha wanne(04)
Balatanda naye,,lol!, jana hukona scoreshit mwishoni mwa mechi ilisomekaje?
Watoto ni watoto tu, wakati wakitupa sie wanne, sie tutawapa triplets.
 
Najua mtasema wizi mtupuuu kudadekiiii!, Thiery alishafunga magoli kama haya mengi tu, sitaki excuses!
 
Tehetehe huyo ndo kipa wa Mbu na Beki wa Balatanda..Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…