Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

28C8D29400000578-0-image-a-9_1431875600549.jpg


Ramsey akifanyiwa foul za kirejareja na wachezaji wa Manure ... .. .
Kumbe za kirejareja mie nikajua za jumla jumla
 
Kama Arsenal ikiendelea kucheza ilivyocheza jana, ubingwa wa EPL mtausikia kwa majirani zenu wa London kila siku!

Ni hayo tu...
 
Mpogo humu jamani? Wacha1 ulinialika j5 nije mbona sikuoni???
 
Last edited by a moderator:
duh, Adam johnson anazomewa hadi huruma! bora aondoke tu epl kashfa yake ipungue makali
 
Kila timu inayokuja na basi la blue Emirates ujue mechi itaisha kwa draw. Arsenal tutaishia wa 3 na inawezekana Aston Villa watabeba FA CUP
 
kama una muda hamia super sport 5 kuna bonge la mechi, juve vs lazio dk 96,
 
Pole sana mtani, sioni watu wa kuchukua FA hapa,kwa kweli msipoangalia Villa anabeba.......jitazameni kwa upya .

Wachezaji kibao wanaonekana wamechoka. Afu tangu Rentboys wabebe kombe na sisi kupata nafasi ya CL inaelekea ari ya kucheza vizuri imepungua labda wanasubiri FA CUP ambayo nayo Villa watapaki basi lao then wategemee goli la kindondokela.
 
Back
Top Bottom