Tumepat point sio mbaya though ilitupasa kushinda ni ukweli uliowazi kuwa jamaa walikuja kutafuta point moja na wameipata all in all macho yote na akili zote to the next game with Hull. #COYG
kutokana na mafanikio ya timu mpaka sasa pengine asistaafu ila aliwahi kusema msimu uliopita kama asingeshinda FA angestaafu pia kujiuzulu kwa klopp kuna nipa mashaka Wenger asije mwachia kiti
kutokana na mafanikio ya timu mpaka sasa pengine asistaafu ila aliwahi kusema msimu uliopita kama asingeshinda FA angestaafu pia kujiuzulu kwa klopp kuna nipa mashaka Wenger asije mwachia kiti