Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Welbeck anakosa goli la wazi kabisa

Arsenal huwa hatupati magoli ya kindondokela kama timu nyingine. Pale Welbeck hata angejiangusha mpira ungedeflect na kuingia nyavuni. Haikuwa bahati yetu labda next time tutawapata.
 
Arsenal huwa hatupati magoli ya kindondokela kama timu nyingine. Pale Welbeck hata angejiangusha mpira ungedeflect na kuingia nyavuni. Haikuwa bahati yetu labda next time tutawapata.

alokosa goli la waz ni ozil ule mpira welbeck angeupata kwa bahat tu
 
Binafs naona bado tunamuhitaji wenger itakuwa poa kama hata staf msimu huu kumpisha klopp
 
sijui kwanini Wenger anashindwa kujipanga dhidi ya huyu jamaa
 
Timu yetu nzuri sana, muhimu hapa kuwa keep hawa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao.

Defense ime improve kinoma.

Wakuu nimefurahi kuwaona na salam nyingi kwa wakuu wengine.

Kila la kheri wote.
 
Safi sana...Cesc anapata heshima ya kipekee wakati akitoka

Ila kuna wajinga wachache walikuwa wanam-buu, sijaona kosa Cesc alilolofanya katika usajili. Arsenal walitakiwa wamrudishe hata kwa kumweka benchi. Watu wanasahau kuwa hawa wachezaji ni wafanyakazi kama watu wengine. Anayekuajiri ndio unayemtumikia.
 
sijui kwanini Wenger anashindwa kujipanga dhidi ya huyu jamaa
Ulitaka ajipangaje mkuu??

Timu imecheza vizuri sana leo...Imeshambulia, imedefend na ilikuwa nzuri kila idara....Sema ni bahati yao tu Chelsea...

Timu iko vizuri na am sure msimu ujao itakuwa vizuri zaidi na kuwa moja ya title contenders...Mwaka huu tulianza vibaya na tunamaliza vizuri, Chelsea wao walianza vizuri na wanamaliza vizuri.....
 

Safi sana mkuu
 
Hao waliomzomea Mkuu watakuwa MANU lol!

Ila kuna wajinga wachache walikuwa wanam-buu, sijaona kosa Cesc alilolofanya katika usajili. Arsenal walitakiwa wamrudishe hata kwa kumweka benchi. Watu wanasahau kuwa hawa wachezaji ni wafanyakazi kama watu wengine. Anayekuajiri ndio unayemtumikia.
 

wenger anajutia kumuachia kwenda barca na sio kumsain mara ya pili. Cecs amekuwa na mchango mkubwa ktk mafanikio ya chelsea ila pengine isingekuwa hivyo kwa arsenal
 

timu ipo vizur naamin itaendelea kuwa vizur zaid kama wenger hata staaf mwaka huu hata tumsajili kocha nzur kias gan tutasota tu.
 
mkuu tatizo ni uteja,kwanini hajawahi kutoka na point 3 kila alipo kutana na huyu jamaa?ina maana yeye hazitaki au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…