siwezi kuangalia second half. Mtanipa matokeo. Hata hivyo tutakuwa watatu hata tukifungwa. Wale jamaa naona wameshakubali nafasi ya 4 ni yao, nilikuja kusalimia , nasubiri waje kulalamikia penati hewa. Midaz pipoz
siwezi kuangalia second half. Mtanipa matokeo. Hata hivyo tutakuwa watatu hata tukifungwa. Wale jamaa naona wameshakubali nafasi ya 4 ni yao, nilikuja kusalimia , nasubiri waje kulalamikia penati hewa. Midaz pipoz
Naona Wenger yupo very desperate kumfunga Mourinho, anafanya subs za liwalo na liwe. Chelsea wanaweza kutupiga a sucker punch na kuondoka na 3points mwishoni mwishoni