Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nipo Mkuu siye wengine tunafuatilia michezo mbali mbali. Just to name a few they include basketball, tennis, formula 1, goroli 🙂🙂 etc. Kuna mchapo mzuri unaendelea kwenye TV kati ya Southhampton na Spurs ndio naufuatilia sasa hivi.


Zaidi ya soka labda tennis, rugby na F1 kidogo...! I've never liked basketball sijui labda nature ya mchezo ndio siipendi.
 
Mie basketball wala sikuwa mpenzi kihivyo ingawaje niliwahi kuhudhuria few games pale Gymkhana na friends katika mechi za timu maarufu za Tanzania. Nilipoanza kuangalia NBA Games wakati Michael Jordan ndiyo yuko kwenye peak lakini timu yake Da Bulls haijashinda ubingwa hata kumjua nilikuwa simjui ila nilivutiwa na uchezaji wake na leadership style basi nikawa hooked na haikupita miaka mingi Da Bulls wakaanza kuchukua ubingwa na mimi kuanza kumsoma MJ kwenye magazeti na web sites mbali mbali na kugundua jinsi alivyo maarufu duniani kote. Ni mchezo uko poa sana hasa ukijua sheria zake lakini michezo yote tisa kumi ni real football.

Zaidi ya soka labda tennis, rugby na F1 kidogo...! I've never liked basketball sijui labda nature ya mchezo ndio siipendi.
 
Wenzako wote wanaogopa kuja huku, hongera kwa kujitutumua kuja ....... nipelekee salamu zangu kwa Ntuzu kunguru mjanja na b5-click.........


Eli79 mwanangu narudia tena uwe hodari na moyo wa ushujaa tu.........

Kazi za watu mama bize.. nimeku-mi... malizia mwenyeweee.
Eli79 aga kabisa wenzako.. ban inakuhusuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo nyie ni mabingwa wa London kiyu-UEFA????
 
Last edited by a moderator:

Absolutely! Sikamatiki na niko busy kwelikweli. Ila hayo yote hayawezi kunisahaulisha mchezo huu wa kesho ambao kiukweli unanipa presha sana kwa jinsi mambo yalivyo hivi sasa kwenye msimamo wa EPL.
Sina la kusema zaidi ya kuitakia na kutegemea ushindi kutoka kwa club yangu kipenzi Arsenal.
Tupo nyumbani,ni bora hata tutoke sare kuliko kupoteza kabisa mchezo huu muhimu kwetu.
 
Last edited by a moderator:



















Prof alikuwa kwenye ulinzi mkali leo kuwaona vijana wakiwa ready kwa mtanange wa kukata na shoka kesho

















COYG kila la-kheri kwa vijana wa Gunners na all who support the club
 
C O Y G..
Naona leo domo kaya atakuja na mabasi yote ya LONDON!
Ila ushindi upo...


Tuweke basi kwako ili iweje? Sisi tunakuja kukuzimisha hapo hapo....Leo utabaki nafasi ya 4.... Hiyo ndio nafasi yako.
 
Wakuu wa Gunners leo point 3 ni muhimu sana kwetu ili tupunguze gap na yule wa juu huku tukimuachia manyoya yule wa chini yetu. So kila lililo kheri kwa Gunners ni matumain yangu kuwa point 3 muhimu zinabaki pale Ashburton Grove.
Tukutane hapa wadau wote Mbu, BAK, Sizinga Wacha1, Richard utafiti et...al
#COYG
 
Last edited by a moderator:
Niko hapa Mkuu nafuatilia huu mchapo wa mwanzo. 3 points ni muhimu sana leo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…