everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Mar 18, 2015 #41,221 kitwala said: Jaman hata huruma hamna? Mnawanyeshea mvua ya maneno tu wakati wanamachungu!!!! Click to expand... Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........
kitwala said: Jaman hata huruma hamna? Mnawanyeshea mvua ya maneno tu wakati wanamachungu!!!! Click to expand... Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Mar 18, 2015 #41,222 BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... Hii ndo CL hakuna mnyonge
BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... Hii ndo CL hakuna mnyonge
stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Mar 18, 2015 #41,223 Wenger kuna muda alikua analia huku anafuta KAMASI
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Mar 18, 2015 #41,224 BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... Wahaao!!! Nimefurahi kukuona hapa mpenzi nilijua ndo kamba tayari unaitafuta maana ulitoweka ghafla....... Mi napenda AM wapite hizi timu za ujerumani zilizoingia zatosha.....
BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... Wahaao!!! Nimefurahi kukuona hapa mpenzi nilijua ndo kamba tayari unaitafuta maana ulitoweka ghafla....... Mi napenda AM wapite hizi timu za ujerumani zilizoingia zatosha.....
stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Mar 18, 2015 #41,225 Wenger ana rekodi mbaya kuliko Kocha yeyote yule katika UCL yaani katika misimu yake 17 amecheza FINAL moja na Nusu fainal basiiii zaidi ya hapo ni mshiriki bora.
Wenger ana rekodi mbaya kuliko Kocha yeyote yule katika UCL yaani katika misimu yake 17 amecheza FINAL moja na Nusu fainal basiiii zaidi ya hapo ni mshiriki bora.
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Mar 18, 2015 #41,226 everlenk said: Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........ Click to expand... Watu hawajui kuchukuliana mizigo. Teh teh teh teh teh Ila twende mbele turudi nyuma hawa jamaa wangeshinda tungekomaje
everlenk said: Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........ Click to expand... Watu hawajui kuchukuliana mizigo. Teh teh teh teh teh Ila twende mbele turudi nyuma hawa jamaa wangeshinda tungekomaje
Ntuzu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 17,418 Reaction score 10,877 Mar 18, 2015 #41,227 BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... ATM msimu huu wana kiwango kibovu sn tofauti na msimu uliopita....
BAK said: Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game. Click to expand... ATM msimu huu wana kiwango kibovu sn tofauti na msimu uliopita....
hashycool JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 6,555 Reaction score 2,838 Mar 18, 2015 #41,228 kitwala said: Watu hawajui kuchukuliana mizigo. Teh teh teh teh teh Ila twende mbele turudi nyuma hawa jamaa wangeshinda tungekomaje Click to expand... Yaani...at least kesho ntakuwa na sababu ya kuwahi kijiweni with a vere vere big smile.
kitwala said: Watu hawajui kuchukuliana mizigo. Teh teh teh teh teh Ila twende mbele turudi nyuma hawa jamaa wangeshinda tungekomaje Click to expand... Yaani...at least kesho ntakuwa na sababu ya kuwahi kijiweni with a vere vere big smile.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,119 Reaction score 40,124 Mar 18, 2015 #41,229 kitwala said: Hii ndo CL hakuna mnyonge Click to expand... isipokuwa Arsenal.
stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Mar 18, 2015 #41,230 Teh teh teh teh hawa makocha bana...
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Mar 18, 2015 #41,231 hashycool said: Yaani...at least kesho ntakuwa na sababu ya kuwahi kijiweni with a vere vere big smile. Click to expand... Hahahahahaaaaaaa Nyie watu wabayaaaa
hashycool said: Yaani...at least kesho ntakuwa na sababu ya kuwahi kijiweni with a vere vere big smile. Click to expand... Hahahahahaaaaaaa Nyie watu wabayaaaa
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Mar 18, 2015 #41,232 ATM penalty 3 Bayer levercusen 2 ATM kapita kwa penalty 3 kwa 2
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,283 Mar 18, 2015 #41,233 Atletico Madrid wamewatoa Leverskune kwa penalties. Ntuzu said: ATM msimu huu wana kiwango kibovu sn tofauti na msimu uliopita.... Click to expand...
Atletico Madrid wamewatoa Leverskune kwa penalties. Ntuzu said: ATM msimu huu wana kiwango kibovu sn tofauti na msimu uliopita.... Click to expand...
hashycool JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 6,555 Reaction score 2,838 Mar 18, 2015 #41,234 kitwala said: Hahahahahaaaaaaa Nyie watu wabayaaaa Click to expand... Yaani natamani kukuche hats now nitoke na vuvuzela langu...matter of fact wacha niende club.
kitwala said: Hahahahahaaaaaaa Nyie watu wabayaaaa Click to expand... Yaani natamani kukuche hats now nitoke na vuvuzela langu...matter of fact wacha niende club.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,119 Reaction score 40,124 Mar 18, 2015 #41,235 kitwala said: ATM penalty 3 Bayer levercusen 2 ATM kapita kwa penalty 3 kwa 2 Click to expand... Bayer ndo wametoka kiume sasa, sio hawa Arsenal.
kitwala said: ATM penalty 3 Bayer levercusen 2 ATM kapita kwa penalty 3 kwa 2 Click to expand... Bayer ndo wametoka kiume sasa, sio hawa Arsenal.
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Mar 18, 2015 #41,236 everlenk said: Wahaao!!! Nimefurahi kukuona hapa mpenzi nilijua ndo kamba tayari unaitafuta maana ulitoweka ghafla....... Mi napenda AM wapite hizi timu za ujerumani zilizoingia zatosha..... Click to expand... nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikia
everlenk said: Wahaao!!! Nimefurahi kukuona hapa mpenzi nilijua ndo kamba tayari unaitafuta maana ulitoweka ghafla....... Mi napenda AM wapite hizi timu za ujerumani zilizoingia zatosha..... Click to expand... nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikia
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Mar 18, 2015 #41,237 ALEYN said: Bayer ndo wametoka kiume sasa, sio hawa Arsenal. Click to expand... mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaume
ALEYN said: Bayer ndo wametoka kiume sasa, sio hawa Arsenal. Click to expand... mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaume
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Mar 18, 2015 #41,238 Viol said: nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikia Click to expand... Hata nami nimefurahi sana
Viol said: nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikia Click to expand... Hata nami nimefurahi sana
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,119 Reaction score 40,124 Mar 18, 2015 #41,239 Viol said: mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaume Click to expand... vyovyote vile utakavyoongea ila Bayer kajitahidi sana kwa Atletico, sio kama huyu Arsenal.
Viol said: mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaume Click to expand... vyovyote vile utakavyoongea ila Bayer kajitahidi sana kwa Atletico, sio kama huyu Arsenal.
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Mar 18, 2015 #41,240 everlenk said: Hata nami nimefurahi sana Click to expand... nawakubali i wish wachukue kombe