Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Tuko wengi,nimeona hata niingie JF labda nitamaliza salama....dah...!
Wewe acha tu dear ila mimi ujasiri unaongezeka.
Hahahahaha lol! Honey Faith na Michelle poleni kwa kutetemeka mie niko calm ile mbaya ila badala ya kuchezea kati wasogeze mpira golini kwa Monaco. Kuna goli nyingine mbili hapa au hata zaidi kama tutatulia na kuwa makini.
Hahahahaha lol! Honey Faith na Michelle poleni kwa kutetemeka mie niko calm ile mbaya ila badala ya kuchezea kati wasogeze mpira golini kwa Monaco. Kuna goli nyingine mbili hapa au hata zaidi kama tutatulia na kuwa makini.
The game just got interesting, desperate to win today.....!
Hapa Monaco wakipata ki goli kimoja tu...kwisha habari yetu
Arsenal lazima haukalie atake asitake...
Leo wamekuwa walaini sana
Hahahahaha lol! Honey Faith na Michelle poleni kwa kutetemeka mie niko calm ile mbaya ila badala ya kuchezea kati wasogeze mpira golini kwa Monaco. Kuna goli nyingine mbili hapa au hata zaidi kama tutatulia na kuwa makini.
I know we're playing well but we need to speed up the game in order to create more opportunities. That was a clear penalty.
Ni zaidi ya mbili bado tuna magoli matatu its a matter of time lets wait and see
Lakini tunashindwa kutumia udhaifu huo kuwafunga goli hata tatu kwa hichi kipindi cha kwanza
Hiyo ndio duwa na maombi ya mashabiki wote wa Arsenal...ila akili yangu inakataa eti tuwafunge Monaco goli 3 au 4 bila alafu wao wasipate hata goli moja!!? Nasema Noooo
Khaa!! are you sure tutashinda kwa vyovyote vile?
Sidhani kama tunaweza kuwafunga hawa jamaa goli 3 au 4 alafu na wao wasipate hata goli moja...ndio maana nimesema tunaweza kuwafunga ila hatuwezi kusonga mbele kwenye mashindano haya.