Arsenal (The Gunners) | Special Thread




Arsenal fas dressed in full kit and wigs walk along
the marina near the Stade Louis II




  • [*=center]

Asiye na mwana aeleke jiwe ...
.. #COYG
 

ramsey ataanza ila hii mechi tutafungwa endapo ozil atacheza 10 halafu carzol pembeni ila carzola akicheza 10 ozil acheze pemben ama aanze bench tutashinda ushind mnono
 
Hii game mtapata ushindi lakini si kusonga mbele kwenda robo fainali. Monaco walipata ushindi mnono mno pale Emirate. Ushindi wa zaidi ya goli 3 ni ngumu sana.
 
Mashabiki na wapenzi wenzangu wa Arsenal' kwa pamoja tukubali kuwa teyari tulishatolewa kwenye mashindano haya.
Hapa leo tumekuja kukamilisha ratiba yetu tu. Ni vigumu sana eti tuwafunge Monaco goli 3 au 4 alafu wao wasitufunge hata goli moja...nasema haiwezekani hata siku moja.

Tunaweza kuwafunga, ila hatuwezi kupita kwenye mashindano haya...kuwafunga ni kitu kingine na kupita kwenye mashindano haya ni kitu kingine. Ila kwa vile tunaipenda club yetu hatuna budi kuangalia game hii ila hatuendi kokote.
 
Duh! Ramsey bench? Ila naona ozil angeanza bench na cazorla acheze 10 na ramsey aanze, ila poa tutashinda kwa vyovyote vile
 
Arsenal wanatakiwa kuimaliza game mapema. Najua monaco watahitaji kupata bao mapema ili kuwavunja nguvu arsenal, gunners watumie mwanya huo kuimaliza game.
Twende kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…