Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Hata nisipozuka ila sala zangu ni kama nipo tu na nyie.Hapa furaha tele
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Hahahahahaha lol!!! ungewaambia mwambieni ni Utafiti wa JF angeamka mwenyewe usingizi wote ungemruka πŸ™‚πŸ™‚

Sawa nitashukuru maana huyu utafiti ananibania.

Umeona eeeh tatizo muoga anamuogopaga mama yangu ni mkali balaa si ajabu hata hakuniuliziaπŸ˜€
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha lol! utafiti aliniambia mama yako ana maswali magumu, "Nimwambie nani baba?" Mwambie Utafiti mama anaongeza swali lingine "Wewe ni mkwe wangu, mnafanya kazi pamoja, au kwa kifupi mkojemkoje?" Maswali kama haya lazima Utafiti asepe haraka sana badala ya kupata kigugumizi "Baba mbona hujibu maswali yangu? Umepata kigugumizi?" "Ngoja nikuletee maji ya kunywa labda utaweza kuyajibu" hahahahahaha lol! Chezeya mama yake Honey Faith weye!!!

Sawa nitashukuru maana huyu utafiti ananibania.

Umeona eeeh tatizo muoga anamuogopaga mama yangu ni mkali balaa si ajabu hata hakuniuliziaπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…