Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.
 
Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.

No!!? Kwa ufupi timu (Arsenal) inacheza vizuri...sema finishing yetu haijatulia...tusubiri kipindi cha pili
 
Everybody thought it was a dream draw for aseno but it is slowly turning to be a nightmare!
 
Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.

Mkuu Shefwaa Ulishawahi kuwa hata kocha wa timu za mtaani kwenu!!!!
 
Ngoma ya watoto haikeshi mkuu.....

Wee acha tu...nilikuwa nakula Jackerz hapa huku nikiwa nimejilaza kwenye sofa lakini baada ya kufungwa lile goli zile Jackerz nimezitupa na hapa naona nyota nyota tu
 
hv aseno mchezaji kama huyu gibsi mlimtoa wapi? wachezaji wenu hawa wa mafungu watawagharimu sana.
 
babatoooovu! ndio basi tena. la kuvunda halina ubani...na mdharau mwiba mguu huota tende. mnajifanya barcelona kushambulia hadi akina gibsi wanaingia kwenye boksi, cha moto mmekiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…