ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,415
- 118,910
Ahsante sana Mkuu, leo najua fika kwamba wapenzi na mashabiki wa Chelsea na MANU wote watakuwa wanatushangilia kwa nguvu zote ili tupate ushindi dhidi ya Man City. CC: everlenk, Honey Faith, utafiti na wapenzi wote wa soka hapa jamvini. Wellbeck, Sachez, Walcott kama wote wataanza pamoja basi tutaiweka ngome yao kwenye pressure kubwa sana na lazima tuzione nyavu zao at least once before half time.
Welbeck bado majeruhi, Walcott hana match fitness ya 100%. If we can stick with Coq kama def. mido afu Rosicky aendelee na role yake ya box-to-box, Cazorla namba 10...huku Alexis akipiga winga. Oézil, Walcott na Ramsey waingie kama subs..nadhani tutaondoka na ushindi..! Ni maoni tu..!
Last edited by a moderator: