Man U wakicheza na wafu mi ntashangilia wafu haki ya nani vile
siipendi kweli
Haha haaaa,wewe ni sawa na mimi kabisa.Siipendi Man U vibaya sana
Haha haaaa,wewe ni sawa na mimi kabisa.Siipendi Man U vibaya sana
chama la gay goons linaendeleaje mazee!
GGMU
Onyesha na idadi za mechi walizocheza kila mmoja.
Di Maria ni janga ndani ya man uHuyo Di Maria hata hizo mechi chache alizocheza hakuwa na msaada mkubwa kwenye timu kama tulivyotegemea.
Huyo Di Maria hata hizo mechi chache alizocheza hakuwa na msaada mkubwa kwenye timu kama tulivyotegemea.
Hahahahahahahaaa... Nadhani mlisahau kama Di Maria ni kiungo. Yaani mpishi wa mabao. Hao wengine ni strikers.
Ova
Hahahaa lakini hatuoni vile vyakula alokuwa anapika Santiago.
Hahahaa lakini hatuoni vile vyakula alokuwa anapika Santiago.
Alikaa misimu mingapi Santiago? Na miezi mingapi na Man United? Hivi tathmini yako inazingatia nini zaidi?
Ova