Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Ulisema kuwa..leo mmekosa wachezaji 12..sasa si ina maana wangekuwepo pengine mngeshinda ama? Hivyo ndivyo visingizio chifu..

United pamoja na backline ya kujikongonya, tunasonga mdogomdogo...hata siye tuna majeruhi ya key players (Di Maria, Valencia, Fellaini, Rojo, na Blind) hawa wote ni starters wakiwa fit..

Tatizo la goons hamtaki kukiri tatizo kuu la timu, A. Wenger. Jamaa kaishiwa, asipokuwa mjanja kama SAF, ataondoka na aibu.
 

Per Mertesacker stretches to try and hook Sadio
Mane's shot off the line but can only touch the
ball into his own net

Huyo mertesacker kasema ETI alishindwa kuuokoa huo mpira sababu ETI upepo uliupuliza mpira ukamzidi bila ya upepo ETI angeuokoa. This is not a JOKE. Kasema hivyo.
 
Wachezaji 12 kurudi kwenye first eleven, hii ni kali ya kufungulia mwaka 😂😂😂😂

Kwa hiyo leo ilikuwa ni goons B ama C?!? Kwa hiyo Mets, Sanchez, Carzola, Gibbs, Kons, na Oxlade ni wachezaji wa benchi ama?

Halafu majeruhi wapo goons tu ama?
 
Watu hawaamini kwamba tuna wachezaji kumi na mbili ambao watarudi kwenye first eleven soon .... .... .... .. .COYG

Hommie, it's too late. Ni january hii mmevunja rekodi mliyoiwekaga 1993/1994. Mechi 20 pts 33. Southampton wamemiss wachezaji waandamizi pia leo.
 
Reactions: Nzi
Hommie, it's too late. Ni january hii mmevunja rekodi mliyoiwekaga 1993/1994. Mechi 20 pts 33. Southampton wamemiss wachezaji waandamizi pia leo.

Siyo kumiss tu...wameuza key players wao..hivyo timu ni kama mpya..lakini goons wamekalishwa..
 

Mkuu soma post yangu yote uielewe. Utapata jibu la swali lako. Anyway, ukilinganisha na missing players wenu na sisi unaweza kusema kwa kiasi fulani kimechangia kwa sehemu fulani kutofanya vizuri kwetu msimu huu, 4 kg ya Unga si sawa na 3 kg ya mawe. Narudia leo kilichotuangusha kwa kiasi kikubwa ni makosa ya kipa.
 
Msimu huu nina wasiwasi tunaweza kutopata CL spot(sitoshangaa tukiokosa) Liverpool na Man Utd wameshaonja uchungu wa kutopata nafasi mojawapo. Anyway, bado kuna mechi nyingi zimebaki, tunatakiwa kubadilika na kuanza kushinda mechi zetu.
 

Nimeisoma na kuielewa sana...pengine wewe hujaelewa maana ya mimi kukuuliza tena swali ulilolitolea jibu!!

Missing key players siyo tatizo la goons pekee chifu..United's injury list ni record breaking...LvG ametumia wachezaji wengi kuliko timu yoyote mpaka sasa...game dhidi ya Spurs ndiyo pekee ambapo starting XI ilikuwa ile ile ya game iliyopita..sababu? Injuries na backline problems..

Lakini kama timu inayoshiriki mashindano, huwezi kulalama ati majeruhi ndiyo sababu ya kufanya vibaya...kwa goons hii ndiyo imekuwa sababu kila mwaka...

Unaposema leo kipa ndiyo kaiangusha timu, unanipa mashaka kama unafahamu kwamba soka ni mchezo wa makosa kwa asilimia kubwa sana...magoli yaletayo ushindi kwa kiwango kikubwa utokana na makosa ya timu inayofungwa...

"4 kg ya Unga si sawa na 3 kg ya mawe"...sijaelewa unamaanisha nini hapa! Kwani ni obvious kuwa 4 na 3 si sawa!! Ulianza kwa kusema timu imekosa wachezaji 12, nikakuuliza starting XI ya leo ni timu B ama C? Kisha sasa unamlaumu kipa, ilhali soks ni mpira wa makosa! Kwanini usilaumu wachezaji wa ndani kwa kushindwa kutumia makosa ya Soton kujipatia magoli!?
 
Siyo kumiss tu...wameuza key players wao..hivyo timu ni kama mpya..lakini goons wamekalishwa..

Alafu kweli nilisahau kabisa hiyo, Lallana, Lovren, Chambers, Lambert, Shaw, na Rodriguez yupo majeruhi pia bila kusahau Clyne na Morgan kasimamishwa. Licha ya kuuza wachezaji waandamizi wa msimu uliopita, na kuwa na majeruhi watu bado wamekalishwa na bado wako chini ya The saints. Totthenhan na Liver zikaze, safari hii hata lile kombe lao hamna.
 

Mkuu sisi tunatetea FA cup mwaka huu nyinyi mna kombe gani mnalotetea? kombe kongwe kuliko kombe lolote lile kwenye soka hapa duniani.
 
Reactions: BAK
Mkuu sisi tunatetea FA cup mwaka huu nyinyi mna kombe gani mnalotetea? kombe kongwe kuliko kombe lolote lile kwenye soka hapa duniani.

Huo msimu ulishapita. Sidhani kama kuna malipo ya ziada unapotetea ubingwa wa FA. Ni historia tu kwa sasa ambayo kila timu ina historia. Isitoshe, kama unataka tuongelee historia vikombe vyote vyenye HADHI mlivyowahi chukua nasi tunavyo, bila kusahau UEFA Champions League cup kipo pale darajani. Sijui una lipi la kusema hapo.
 
Reactions: Nzi

Washabiki wa Chelsick mna matatizo hapa siongelei historia hivi sasa mabingwa wa FA cup ni Arsenal hiyo sio historia ni reality. Nyie ndio mnaoongelea historia khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tutakuwa sio mabingwa wakati hilo kombe atakapopewa mshindi mwaka huu kwa sasa tunaringa (Upende usipende maana nyinyi tunawafahamu hamkubali facts) nalo hata ukiuliza popote pale sasa hivi utaambiwa Gunners ndio mabingwa sio Chelsick waliochukua miaka ya nyuma hiyo ndio historia upo hapo khe khe khe khe he khe khe hekhe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mkuu kombe liko Emirates kama unahitaji unaweza kuja kuliangalia nyinyi pale kwenye cowshed hakuna kitu. khe khe khe khe khe khe khe khe , mko na replica cups. Wenye vikombe mwaka huu ni Mancs na Gunners. Chijui nani alibeba kombe la mbuzi.
 

Kabla ya kulichukua hiyo 'juzi' mara ya mwisho mlilichukua lini? Na baada ya hapo sisi tulilichukua mara ngapi? Obvious, kombe ni moja hivyo haiwezekani likachukuliwa na timi mbili kwa wakati mmoja. Ila pia nakumbuka draw yenu mpaka mkachukua ilikuwa mteremko sana, mlipewa vibonde na vitimu 'vikali' Spurs na Liver mkapewa mchezee kwenu. Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Umeanza kula matapishi yako chacha uwe unasoma na kuelewa nini kinaongelewa khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tena kama hufahamu Khe khe khe he kheeeeeeeeeeeee nina hati miliki au hufahamu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee njoo Emirates nikuonyeshe kombe.
 


Mkuu kombe la FA cup ambalo liliazimwa kutoka kabati la Gunners - Emirates lilipelekwa South pole na picha zikapigwa tuletee kombe ambalo liliazimwa hata siku moja kutoka Chelsick au kombe gani wangeazima mwaka huu. khe khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ndio chababu mlikuwa mnalilia kombe November imekula kwenu. Majuto mjukuu.
 

Tatizo lenu mnaongea sana vijitu vya arse-nil, ila mtaendelea kuchezea vichapo kama kawaida na makombe msahau. Hilo kombe la FA na ligi utayakuta darajani by July. Saizi yenu Soithampton na West Ham gombeeni nafasi ya nne na tano.
 
Wenger aachage ubahiri wake wa ajabu atutafutie DM Wa ukweli ni aibu kufungwa na kitimu kama hicho
 
Tatizo lenu mnaongea sana vijitu vya arse-nil, ila mtaendelea kuchezea vichapo kama kawaida na makombe msahau. Hilo kombe la FA na ligi utayakuta darajani by July. Saizi yenu Soithampton na West Ham gombeeni nafasi ya nne na tano.

Wacha wivu uliuliza facts nimekupa unaanza wivu wa kike chelsick hamna kombe mwaka huu mnatetea mfuto khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wewe hapo husemi unabwabwaja, mbona leo mmekung'twa kama gunia na Totts, kama hufahamu kufungwa ni part of the game, na nina uhakika wivu unawasumbua na utaendelea kuwaumiza.

BTW chi umechikia russian mafioso wanavyouana mara wamepeana polonium 210 etc chacha chijui tajiri gani atanunua timu au ndio mtakufa kibudu. khe khe keh keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wenger aachage ubahiri wake wa ajabu atutafutie DM Wa ukweli ni aibu kufungwa na kitimu kama hicho

Mkuu kwenye EPL any team can beat anybody ndio EPL hiyo hakuna kibonde, Gunners mechi zilizobaki tutacheza vizuri ni OG tu ambaye ametibua mechi ya leo hatukuwa na mtu pale mbele. Prof kasema atanunua kama akipatikana mchezaji wa kujituma na ni nyota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…