Aah next week tunamshusha man u
Kwa kujifariji tu hamjambo!!
Kwa hiyo tayari ushahesabu ushindi dhidi ya Soton eh?!?
Kwa kujifariji tu hamjambo!!
Kwa hiyo tayari ushahesabu ushindi dhidi ya Soton eh?!?
Timu ndogo kama man u mimi hainipi shida
Naona unataka kujiharibia mwaka wako 'my friend' Honey Faith.
Next Stop Southampton away Mwaka mpya Ali-hamisi 15:00 hrs GMT #COYG.
Wacha kelele wewe umeanza kuona vikombe uzeeni kabla Abraham-ovichi hajaweka pesa za wizi, wacha ngebe.
Nikumbushe wiki ijayo tunakutana na nani mkuu??
I can only imagine... #poleni-in-advance
Ahaha heri ubaki uwape pole kuliko na wewe uingie kwenye stress shem mtanipa kazi ya kumbembeleza one more person.
Shem majukumu yamenbana hapa izi sikukuu ndo kidogo napumua. Isitoshe wifi ako alijifungua...ni changamoto nzuri!!!
Khekhekhekhekheeeeee wacha kunizeesha...hata miaka thelathini sijafikisha....!!!! Haya endelea kuongea.
Like for real...! Were u born when Arsenal won their first title? #beReal
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee you will never answer a question, answer first, then we can move on, you do not need to put exact years but plus minus 5 will do, otherwise mjadala umekushinda.
Chelsea had their first major success in 1955, winning the league ...
Sasa unless sikuelewa swali lako ndo maana nimeshindwa kulijibu.
Si nimekwambia wewe ni kazee ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 1955 khe khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee then what happened, did you ever won anything tangible after that?
Mbona unaenda 19 / 20 th century