Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah! Kwa jinsi jamaa walivyokuwa wanashambulia zile sub zilikuwa muhimu sana ili kuongeza nguvu kwenye defence, hasa ukitilia maanani kwamba defence yetu iko weak.

duuhhhh!! babu wenger sub zote anazofanya ni za difence.
 
Afadhali,at the end points tatu muhimu tumebaki nazo sisi.
Pole Viol leo nimeshinda mimi kwa utabiri

Vise versa yako uliyosema imetimia,hongereni
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana, tunakusubiri kwa hamu kubwa sana. Najua utatuletea bahati na hivyo kuendelea kufanya vizuri katika ngwe ya pili ya EPL katika msimu huu na pia katika misimu ijayo ya EPL.

Mwakani itabidi nianze kushabikia washika bunduki.

This I promise you my friends
 
Mwakani itabidi nianze kushabikia washika bunduki.

This I promise you my friends

Karibu sana Honey Faith
1419787906799.jpg
Cc BAK nifah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom