Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
duuhhhh!! babu wenger sub zote anazofanya ni za difence.
Kizuri zaidi wale wajuu wamepoteza
Vise versa yako uliyosema imetimia,hongereni
duuhhhh!! babu wenger sub zote anazofanya ni za difence.
Hahaaa mimi nakufa na tai shingoni aisee...
Nilipoziona team za juu zimepoteza points mbili nikafanya wasiwasi sana
Huna haja ya kuogopa,wakipoteza sisi tunapata.Jiamini....
Ahsante sana Honey Faith uliniambia tutashinda na kweli imekuwa hivyo. Tunakusubiri mwakani ujiunge chamani.
Mimi zawadi yangu naomba ujiunge kwenye chama letu....
Asante sana my dear....ngoja nijiandae.
Mwakani itabidi nianze kushabikia washika bunduki.
This I promise you my friends
Mwakani itabidi nianze kushabikia washika bunduki.
This I promise you my friends