Kiswahili kigumu sio?Ngoja nikutafunie ili uende. Mnapo May 2014 baada ya kushinda UCL jamaa aliamua kuchora tats hizo mbili,moja ktk mguu kusheherekea makombe mawili (UCL & World Cup) aliyoshiriki kuyabeba kwa Spain na Real Madrid
Kiswahili kigumu sio?Ngoja nikutafunie ili uende. Mnapo May 2014 baada ya kushinda UCL jamaa aliamua kuchora tats hizo mbili,moja ktk mguu kusheherekea makombe mawili (UCL & World Cup) aliyoshiriki kuyabeba kwa Spain na Real Madrid
Kuna mjamaa alisema Sanchez ni mzuri akicheza na team ndogo ndogo lakini arsenal ikikutana na team kubwa Sanchez haonekani kwa ubora ule kwenye team ndogo
Kiswahili kigumu sio?Ngoja nikutafunie ili uende. Mnapo May 2014 baada ya kushinda UCL jamaa aliamua kuchora tats hizo mbili,moja ktk mguu kusheherekea makombe mawili (UCL & World Cup) aliyoshiriki kuyabeba kwa Spain na Real Madrid
Kuna mjamaa alisema Sanchez ni mzuri akicheza na team ndogo ndogo lakini arsenal ikikutana na team kubwa Sanchez haonekani kwa ubora ule kwenye team ndogo