Naona #WengerOut inafifia sasa...washabiki wa Goons ni kama waTZ, wazuri sana wa kulalamika, halafu wepesi sana kusahau...
Wanaogopa having a painful divorce with Wenger.
Anyway, Wenger ka-target to win the Premiership within two years.
Thanks Alex sanchez. Now I can sleep!
Arsenal wakishaanza game namna hii ujue wanakufa tu. Wanaanza kwa kasi, kisha wanatepeta.
Ova
I wish game ijayo tushinde,west ham atoke japo draw na man u afungwe....
Kwenye kufungwa Man United itoe hapo. Tulishaachana na mikataba ya kupoteza mechi, zimeshatosha sasa.
Ova
Aisee nilishakata tamaa baada ya golikipa kuokoa goli tatu za dhahiri, kuna mechi 6 nyingine mwezi huu na mkakati ni kushinda mechi zote hizo na hivyo kujizolea 24 points out of 8 games in December. Hongera nawe naona mambo si mabaya ila sikuiona mechi yenu.
Wenger kiboko yao... Ajira yake ipo pale pale
Ndo maana tunasema mpira ni dakika 90,kwa kweli hata nasi mkakati wetu ni kuishangaza dunia toka mtaa wa kumi na kitu mpaka mtaa wa 4 si mchezo!! Hope tutafanya maajabu zaidi.
Acha kabisa dakika za mwisho ni nzuri sana na ni mbaya sana,zikutumiwa vizuri huleta matokeo mazuri maana timu zote zinakuwa kwenye tension kubwa,dah unanikumbusha machungu ya Argentina kukosa Ndoo kwenye world cup dakika za mwisho zikabadilisha mambo.Hahahahaha lol!!! Nimeitumia sana hiyo kauli ya "mpira ni dakika 90" lakini haya magoli ya dakika za mwisho nomaaa kama mpenzi unakuwa kwenye pressure ya haki ya juu, nadhani hata wacheza na Wenger walikata tamaa na kudhani ni sare nyingine.
Acha kabisa dakika za mwisho ni nzuri sana na ni mbaya sana,zikutumiwa vizuri huleta matokeo mazuri maana timu zote zinakuwa kwenye tension kubwa,dah unanikumbusha machungu ya Argentina kukosa Ndoo kwenye world cup dakika za mwisho zikabadilisha mambo.