Prof hana wasi wasi kabisa na performance ya Ozil pimbi pamoja na #Mburukenge# wanaweweseka ........ .....
Tangu lini wametoa any good comment kwa mambo ambayo Prof
anayofanya kwa Gunners .......Nay
Vijana wako away kesho Villa Park tegemea ushindi mnono COYG KICK OFF 15:00 Hrs British summer time