truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 339
.......unajiitafutia kipindu pindu bureee!....
#YouWant2BetMate ?
Sisi tutakuwaisha Mirembe huo ndio msaada wetu.
Kesho tutawaona United mtakachofanya
Mi anayeniudhi sana ni Arsene Wenger. Wenger ni modern-football inept kabisaaaaaa, hana tactics, hajui anahitaji wachezaji gani wakati wa usajili, mbishi kusikiliza wattu!! aaaaaggrrrrrhhhhh!! Kwa mtindo huu tusiojifunza kutokana na makosa, niwe mkweli naogopa timu za counter attack tutakazokutana nazo Chelsea ikiwemo.
Ndio tulitaka atumie kununua top quality players, lakini ambao tulikuwa tunawahitaji. Ozil lazima tukili tulimnunua tu sababu ni top quality na alipatikana kwa muda huo mfupi, tukaona tumuwahi, lakini hatukuwa tunamuhitaji. Ni babu tu mahesabu yake yalienda ovyo. Hatukumuhitaji Ozil, nafasi yake Carzola alikuwa anaicheza vizuri sana, sasa hivi Carzola anakula benchi mpaka confidence imemuondoka. Carzola wa sasa si wa 2012.
......Cesc Fabregas: Arsene Wenger said he didn't need me at Arsenal
New Chelsea signing Cesc Fabregas admits that he spoke with Arsene Wenger about a return to his former club, but was told by the Frenchman he was not needed because he already has Mesut Ozil
Source; Cesc Fabregas: Arsene Wenger said he didn't need me at Arsenal | Mail Online
Mtanange ndio umeanza kila la kheri kwa Gunners.
COYG.
kila kitu kina mwanzo cku yetu ya kulibeba inakuja
Mi anayeniudhi sana ni Arsene Wenger. Wenger ni modern-football inept kabisaaaaaa, hana tactics, hajui anahitaji wachezaji gani wakati wa usajili, mbishi kusikiliza wattu!! aaaaaggrrrrrhhhhh!! Kwa mtindo huu tusiojifunza kutokana na makosa, niwe mkweli naogopa timu za counter attack tutakazokutana nazo Chelsea ikiwemo.
Sasa hivi mahesabu hasubuhi. EPL na UCL hamna chenu. Ikifika january mmechakazwa tayari.
Siioni arsenal ya kubeba kombe msimu huu.
nimekuona kule YNWA tena upo huku ! bila shaka wewe ni 'Man useless'
soma;
"Once Bitten, twice smitten!".....Mzee Wenger sijui pride inamsumbua? ....anyway, tusiseme mengi bure, kipindi kile kelele za WengerOut ziliposhika kasi, majority walimtetea kuwa he knows what he's doing!
Kama unakumbuka vizuri, partnership ya Fabregas na Flamini ilikuwa nzuri sana kabla Flamini hajaenda Italy, na kuondoka kwa Flamini ndio ikawa kuporomoka kwa kiwango cha Fabregas pia Arsenal.
Hata mimi nilimshangaa sana huyu mzee kumkataa Fabregas, japo tulikuwa na 1st Opt Clause kumrudisha Fab kundini. Leo hii tunabakia kum admire assists zake Chelsea, huku tunaugulia maumivu ya Ozil,....balaaa!
Anyway, "we win or lose.....Together we stand!"
Bila Fabregas, bila Van Persie, tumechukua FA Cup na Charity Shield,......We are the Gunners, we will bounce back!
Ndo kwanza Wenger kasign hadi 2017..... kazi tunayo bado!!!!Yaani ndugu yangu tukikutana na timu kubwa ndo tutegemee haya, na hasa tukikutana na timu yenye counter attck nzuri kama Madrid au Chelse, itakuwa balaa. Leo tungeweza pigwa hata tano. Wenger bado yupo miaka ya arobaini na saba. Mambo yamebadilika. Wachezaji wote tulionao wa kushambulia, kama defence na defensive midfield hamna, ni kutwanga maji kwenye kinu. Kazi ipo.
YNWA ndo wapi??? Mi ni Arsenal damu toka enzi za Ian wright. Miaka ya 1998, nikiwa dogo kabisa enzi hizo! Huko YNWA eidha umenimix na mwingine au uliniquote vibaya. Ian Wright ndo alinivuta Arsenal, Henri akaja pigilia msumari. Wachezaji hawa ndo walinivuta Arsenal: Seaman, Dixon, Winterburn, Bould, Adams, Viera, Petit, Wright/ Anelaka/ Henri, Overmarz, Berkamp nk. Hili chama hakukuwaka na stress, stress ilikuwa kama dk 45 za kwanza bado mtu hajakalishwa. Alikuwa hatoki mtu. Kisha The Invincibles. Dah! Niko nolstagic hapa, remembering good old days. Ni Arsenal all the way, hamna chembe za Manu ndani yangu. Gooner till I die no matter what!! Nafikiri yule manager wetu Graham alikuwa ni monster. Ye ndo alimuandalia ukuta usiopenyeka Wenger kabla hajaondoka. Sasa hivi babu hajielewi na defence. Stori hii yote ni kukuthibitishia mi Arsenal, usinivute huko.
.......duuuh ! pole mkuu, nilikuwa nam-quote dogo mmoja anajita Grand PA
eti eeh.................Van Gal alisema Welbeck si mfungaji mkaja juu kama moto wa kifuu jana mmejionea wenyewe.