Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wakuu Gunner .....ni ...... 7up.....

Sijaongeza maneno ila nimeyapunguza yatengeneze sentensi sahihi na "Ungeiweka hivyo ingependeza zaidi maana ndio nafasi mliyopo na kuna wanaokuja kuwapita hapo so enjoy while it last..!! 7up is urs this tym
 
Wakati mwingi anaudhi huyu na maamuzi yake, wacha kule alikotoka wamteme.

Jamenijameni, huyu naye katoka wapi?! Nemo ni goons' record breaker katika transfer fees!! Sasa unataka apigwe benchi na kocha aliyevunja benki kwa ajili yake?!? Wenga si ataonekana kichaa!!!
 
Acha tu, tuko hoi, ila Ozil kapendwa tu na AW, jamaa mvivu sana aise...
 
Sijaongeza maneno ila nimeyapunguza yatengeneze sentensi sahihi na "Ungeiweka hivyo ingependeza zaidi maana ndio nafasi mliyopo na kuna wanaokuja kuwapita hapo so enjoy while it last..!! 7up is urs this tym

wanakuja kunipita vipi ulipo wewe itakuwaje 3 games 2 points even QPR yupo juu yako na bado kesho it will be 7up times 2 plus 4.
 
Pamoja sana wakuu wa Gunners tumepata point 1 sasa kinachofuata ni kusonga mbele tuwasubirie BVB katikati ya wiki tuone itakuwaje.
 
Mkuu #Mburukenge wamekimbia jukwaa, leo walikuwa wamejiandaa kufanya karamu hapa.

#InGunnersWeTrust

Mkuu #TeamMburukenge wanaendelea kujiudhi tu Imekula kwao na sasa tunasubiri kiama chao. Naona humu ndani wamefyata Mkia wameamua kuaga bila kuondoka oooops sorry wameondoka bila kuaga.
 
Duh! Goons bana, wanasheherekea droo na man shitty nyumbani kwao 😂😂😂😂

That's shows how wee is the club 🙈🙈🙈🙈
 



Alexi's second goal ... ... .. .






His work rate is phenomenal... .. .. . .. .




Jack's composure secured a first goal ... ... .. . .




Jack's celebration with Welbeck behind .... ..










Welbeck .. ... .. so close ... .. .



There is next time boy ... .. . ...




Refa wanamshukuru sana kwa kubeba mizoga kutoka Chelsick .. ... ... .




Debuchy knocked out ... ... ... ... ... . .




Alexi teases the Mancs ... .. .... ...




Guess who?




Jack went for the jagular . ... .. ..





Vijana wanapasha joto tu, mambo bado kabisa ... ... ... ..








COYG .. ... .. .. .. . . . .
 
Overall, our season soon will raise some questions, 4 league games 1 win, 3 draws, on top of that we haven't played good attacking football (of Arsenal level)apart from today's game(on some occasions).. I know some top teams have lost a game a piece but honestly I think they have played better football than us. We need to win our next two games to get back on tracks, getting closer to Chelsea who currently are running away with the league.
 
Duh! Goons bana, wanasheherekea droo na man shitty nyumbani kwao 😂😂😂😂

That's shows how wee is the club 🙈🙈🙈🙈

........hahhhahha! Maneno toka Ka Nzi haka haka kalikokuwa kanasema "leo lazima mlale!"
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…