Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

10250264_10152498887997713_1040960632184255913_n.jpg

Hii ndio lineup mkuu?
 
kama mlimfunga 3-1 ngao ya hisani nini kitawashinda leo....kila la heri watani rubaman Mbu Wacha1 pierre Fm

Pamoja sana mkuu Mtanange utakuwa mgumu kweli kweli huu, tukifanikiwa kuwakamata hawa jamaa katikati na kuhakikisha mipira haifiki kwa Kun basi ni wazi tutawafunga.
All in all lets wait for 90 mts.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom