BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Dua la mdudu siku zote halimpati binadamu dakika ya 29 MANC 1 Arsenal 0
Leo mtakalishwa, hata kwa lazima.
Leo mtakalishwa, hata kwa lazima.
Hahahahaha! Majanga yameanza.
Wanamgambo leo wanalo Lazima wakae,eti washika bunduki Mwe?
Niaje humu.....
Hahaha wameanza kusubiria dak 90..!!!
Hahaha wameanza kusubiria dak 90..!!!
utakua unaota sio burearsenal 2 man city 1.
Full time arsenal 3 mancty 2
Hahaha wameanza kusubiria dak 90..!!!