hapo kwenye defensive midfield ndio napaogopa sana mkuu.kipindi hiki kigumu kinakuja ndio maana nilikuwa naomba cameroon watolewa mapema tu lol.wenger achelewi kumueka campbell beki na kumpeleka varmelen midfield pale kama tukizidiwa.
...Theo Walcott, Theo Walcott, Theo Walcott...aaaaah! ball control yake imepotelea wapi dogo huyu? ...Inasikitisha kuona dogo aliyetazamiwa kuwa 'tegemeo' la England anaboronga akiwa na umri mdogo hivi..
Ilikuwa ni Free kick kutoka kwa Fabrigas badala ya kupiga moja kwa moja akapasi kwa Denlison bila ya ajizi Denilson akachonga moja kwa moja mchezaji wa Stoke akai deflect kidogo akawa amemchanganya kipa wake 1-1