Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Snatching a point from this game..
Sio mbaya coz last season hizi ndo timu zilitupiga vibaya..
COYG..
 
Reactions: BAK
Its over .. .... .... .2 - 2 anyway wamebebwa na refa goli la offside limetunyima 2 points .... .... .... .
 
Nampa Per Mertesacker Man of the match.

Pamoja na kuja bila maandalizi ya kutosha amewezesha timu kujipanga na kutafuta magoli ya kusawazisha.

Inatia moyo kwa kweli.
 
Reactions: BAK
Good mentality .. timu imecheza kama mabingwa watarajiwa
 
Reactions: BAK
Olivier Giroud scored a stoppage time equaliser as Arsenal drew 2-2 at Everton and maintain their unbeaten start to the season.
 
Bulldog hivi di maria anakuja kwa miguu kutoka spain ?
mwezi huu nasikia yupo njiani au ndege imepata pancha ?
 
Last edited by a moderator:
Tuna massive game jumatano dhidi ya Besiktas.

Besiktas ni timu nzuri na itatupatia changamoto kubwa.

COYG!!
 
Dah!!!! Angalia jinsi ulivyonuna Mkuu hahahahah lol!!!! Pole sana....Kumbuka kununanuna ni adui mkubwa sana wa moyo wako πŸ™‚πŸ™‚

Full time: Everton 2-2 Arsenal

 
Arifu ulikuwa umejibanza kwenye dimbwi la maji machafu wapi?!? 😂😂😂

.....wewe si umezoea domo 90mins bana, sie wengine tunafurahia kabumbu huku tunadodosa mara moja moja jf kama nilivyofanya 1st half....

Karibu tena Jumatano mjiudhi!


#MosKwito !
 
Dah!!!! Angalia jinsi ulivyonuna Mkuu hahahahah lol!!!! Pole sana....Kumbuka kununanuna ni adui mkubwa sana wa moyo wako πŸ™‚πŸ™‚

Huo ndo mpira, hongera mkuu
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…