Nashukuru kwa kutambua hilo mkuu so kwa sasa hupaswi kusema kuwa Arsenal hataingia hata top 4 wakati ukiangilia kwako wewe kwa kiasi kikubwa unahitaji kufumua kikosi chako kwa asilimia zaidi ya 70 wakati wenger anahitaji wachezaji wanne au watatu.
sawa lakini historia ya wenger inajionyesha kwamba huwa hafanikiwi kaika usajili kwa kusajili eneo lenye tatizo as we all know tokea rvp ameondoka arsenal bado hamjasettle kwenye striker wa uhakika kwa kocha mwerevu wa kutoshaangesajili striker dirisha kubwa (still sielewi mlimkosaje higuain) au mngesajili kwenye dirisha dogo lakini mpk sasa bado bilabila na kwa wenger ninavyomjua its hopefully angemtegemea sanogo na giroud so mptakuwa hamjsolve tatizo though tusubiri usajili uishe ila wenyewe wanakwambia experince is the best teacher