Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukienda penati tu twafwa....

What a miss by Ramsey

Kweli mkuu, penati sio za kuamini... tulitakiwa tuwe tumeshawamaliza hadi sasa. Tatizo nyuma walianza wakiwa nervous kinoma na bado kuna unervous fulani...
 
Ohh well I can see another trophyless season is beckoning.... Oh God let this not be the case
 
15 minutes za mwisho zinakaribia kuanza, hapa lazima goli lipatikane ili kuepuka maguu 18 ya mtu mzima mwenye akili timamu ambapo lolote linaweza kutokea.
 
Mie hata sielewi kwanini yuko uwanjani.

Naweza kusmell trophy less season nyingine Chifu...Timu inacheza hovyo...Hakuna kabisa mipango ya ushindi...

Wilshere na Rosicky wanaingia...Ozil nje
 
Dah #Mburukenge watachonga sana wapo hapa wanachungulia kwa mbali wanasubiri wavamie kuja kutuzodoa. Hahahahahaha 3-2 daaaahhhhhh! Pressure imeshuka sasa Daaahhhhh!

Naweza kusmell trophy less season nyingine Chifu...Timu inacheza hovyo...Hakuna kabisa mipango ya ushindi...

Wilshere na Rosicky wanaingia...Ozil nje
 
#Mburukenge haoooo wanasepa kimya kimya hahahahahahaha lol!!!!
 
Back
Top Bottom