Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

manina Arsenal na refa wananipa headache. Refa kapeta clear penati kama 3 hivi.
 
Wala sio uongo marefa kama huyu wanabidi wapewe adhabu kali ili waache uhuni wao. Wanaharibu raha ya kandanda pale ambapo wanaacha kufuata sheria za kazi zao.

manina Arsenal na refa wananipa headache. Refa kapeta clear penati kama 3 hivi.
 
manina Arsenal na refa wananipa headache. Refa kapeta clear penati kama 3 hivi.

Mbona husemi ile kona iliyoleta goli la 2-2? SirNoGoal ndiye aliyekuwa wa mwisho kuugusa mpira. Hivyo, ilipaswa iwe goal kick, lakini ikawa corner kick!!
 
1400349176642_lc_galleryImage_LONDON_ENGLAND_MAY_17_San.JPG

Large appeals: Santi Cazorla of Arsenal and Gunners fans appeal for a penalty
 
Sasa pressure ndio imeanza kupanda dah!!!!!
 
Sema ukweli, Ozil ni kama hana mzuka wa kucheza Arsenal..anashindwa kudictate game kama siku za mwanzo!!
 
1400350021266_lc_galleryImage_LONDON_ENGLAND_MAY_17_Bac.JPG

Relief: Bacary Sagna of Arsenal celebrates after his team-mate Laurent Koscielny scores the equaliser
 
Wafunge goli la tatu banaaaa wasingoje matuta.
 
Sema ukweli, Ozil ni kama hana mzuka wa kucheza Arsenal..anashindwa kudictate game kama siku za mwanzo!!
Tatizo ni World cup Chifu...

Ozil anacheza kwa tahadhari sana akiogopa kuumia...
 
Back
Top Bottom