nishapoa sasa hivii unafiki wangu naupelekka kwa everton kuwaombea msiingie nafasi ya nne
nimeinakili hii post yakoHata watambike kwa mganga wenu hawawezi kumaliza EPL juu ya Gunners, we have got Prof na hao Evertonian wana nani ..... .... ... Kocha aliyefukuzwa baada ya kushuka daraja ... .... .... ... Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Kuna vitu ambavyo haviwezi kutokea, endelea kuota ndoto za Abunuwasi..
habari ndo hiyoo hata nyie huwa mntufanyia unafiki sana so kawaida haya mambo kwenye game la mpira kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake!!Duuh! Kweli unafiki mbaya nakumbuka kipindi flani mlikuwa mnamuombea Everton njaa ili mkachukue nafasi yake sasa baada ya mambo kuwa magumu mmesanda mmeanza kuwasuport Everton.
Teh teh teh teh teh teh! Kazi kwelikweli.
nimeinakili hii post yako​ni namba 33894 ligi ikiisha nitakuja kukumbushia
dah nitaumia sana mkibeba faUbigwa basi tena tunasubiri msimu ujao wacha tupate hili FA kwanza
hapana siwezi fanya ujinga huo,cha msingi tusubiri tu kwa jinsi mopira wenu wa jana nilivyouona na mlivyoshangilia kuifunga timu ya daraja la kwanza kiasi kile kwa kweli naamini mkipata timu nyingine nzuri kidogo tu mnaweza kupoteza pointi
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee usikimbie tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ndio kawaida yenu au utaingia na jina jingine la bandia.
dah nitaumia sana mkibeba fa
Kakahehehehenimechekailasina kusema kwa ubaya napenda tu kukukumbuka Ndugu yangu unapokuwa haupo tuna kosa raha wasiwasi usiwe umepatwa na Bala tunakuwa tuna kosa Mapicha.Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu unaishi kwa michango? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chema nikuchangie kiasi gani ....... .... siishi kwa michango and it will never happen khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nipo ndugu yangu,,,,,,,,hii mechi ya nusu fainali ilinipandisha presha mpaka nikakosa muda wa kuja kufuatilia humu JF
It is written FA Cup final will be between Arsenal and Hull City
Hull City 5-3 Sheffield United FT
Pole kaka, nimeskia tetesi babu anaachia ngazi, nikweli hili?
Hili sijalipata kaka ngoja nifuatilie. Sasa akiondoka nani atakayeshika nafasi yake pale?