Sahau hicho kitu ndugu yangu...kwa timu yetu hii ninayoijuwa mimi? Mkuu tukishinda game hii Chelsea anaweza
kuchukuwa ubingwa. Mwenzio nikikumbuka zile goli 6 walizotupiga Chelsea kwa uonevu na red card juu kiukweli
naumia sana. Acha tu Man City washinde hii game