Arsenal (The Gunners) | Special Thread



We will bounce back, we aren't Manure ... .... ..... COYG

Mkuu Wacha1 wacha kujidanganya. Unazioa hizo picha mbili hapo kati? Zinaelezea everything Scholes said....Arsenal ya sasa haina wachezaji kama hao...HAINA! Na ni kwa sababu hiyo (in as much as natamani muwafunge man city..kwa manufaa yetu ofcourse) ninajua hamna uwezo huo kwa sasa.

Wenger hakutakiwa kumjibu Scholes kwa maneno...ila vitendo! :nod:
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena mburukenge mkuu Wacha1
 
Last edited by a moderator:
Siyo kwamba Unatupenda saana bali unataka kututumia kama Daraja.



Nimeshamaliza biashara na nyie Alafu pia nyie ni majirani zng! Na pia Napenda mshinde ili nichukue ubingwa kirahisi!
 
 
mechi yenu leo ntakuwa naiangalia from a neutral point of view.

Mkuu i. thougt we should be on arsenals side..thy r nolonger a threat kwetu..hawa mancity wanatishia sana mbio zetu za ubingwa,hawa chelsea na mapira yao ya kupaki basi wala hawana shida.
 
Watani wa darajani naona bado wamekumbatiwa na Crystal Palace. Sijui kwetu itakuwaje mama yangu!
 
Mkuu i. thougt we should be on arsenals side..thy r nolonger a threat kwetu..hawa mancity wanatishia sana mbio zetu za ubingwa,hawa chelsea na mapira yao ya kupaki basi wala hawana shida.

i wish kesho tushinde,tutaongoza ligi ujue.
 
Haya watani mmeshasaidiwa na Chelsea. Kazeni buti bado mko kwenye contention, piga hawa City hapo Emirates
 
Haya watani mmeshasaidiwa na Chelsea. Kazeni buti bado mko kwenye contention, piga hawa City hapo Emirates
Leo Tupo na Arsenal mapigo City Sema LFC Keesho tunafungwa au draw ila muhimu Arsenal ashinde Leo nao watakuwa nafasi nzuri ya ubingwa itapata kutupa Nguvu timu za juu na wao United asije Kuwa wa 4.
 
Kila la kheri kwa Gunners natumai leo hatuwez kupoteza point 3.
COYG.
 
Leo Arsenal atashinda,mpaka dakika hii ya 17 hawajafungwa!

"Nlikuwepo":bolt:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…